AIRBAG SYSTEM (diagnostics & Repair)

AIRBAG system iko na sensa ya kuchunguza kutikisa, ina maaana gari ikitikisa gafla kupiita kiasi, hii sensa itapeleka umbea kwa ECU (control boxi)!
Sasa, ECU ikipata itapeleka moto (power) kwa defletor na kulipuwa AIRBAG  namna tulijaribu kuoneshana hapa👇pamoja  na chakufanya ili  kutoa/kuziima hiyo taa ya AIRBAG👨‍🔧

#airbagsystem #SRS #5021tips


Alafu ata ukiweka diagnosis mashine ili kuzima taa ya AIRBAG lakini baado, ukibonyeza HAPA  kuna ka uchawi ka kuzima au ku reset Airbag


Kuzima AIR BAG bila mashine, kulingana especially kama gari hapana kupata ajali👇