🔑KEY CODING & DECODING software

Kwanza ukiweka aina ya gari, hii progrogram itakuonesha chip/EEPROM ya ku deal nayo!
Tena, assuming kwamba unajua ujanja wa EEPROM, kusoma, ku save data, nk, ukitaka bonyeza hapa tuliekezana!

Ukiweza kusoma data ya hiyo chip ama EEPROM ya funguo, unaweka tu hiyo data kwa hii program kiisha inafanya uchawi na kurudishiya data wa kuweka kwa hiyo.

Sii unajua ama umesikia blaa blaa kuhusu sijui ‘dampu’ mara ‘original data’ vitu namna hiyo, sasa briefly jua tu kwamba wakati gari inatengenezwa security system inakuwa kama binti bikira ya kwamba funguo yeyote itakapoingizwa mara ya kwanza, ikiwa sahihi, ndo hiyo funguo itaendelea kuasha hiyo gari!

Sasa, uchawi wa hii program ni kwamba ukiipatia data kutoka kwa hiyo EEPROM kwenye gari ya funguo liliyopotea, hii programu inafanya uchawi wa kufanya hii gari ku kubali funguo yeyote utakapoingiza mara ya kwanza, a.k.a key decoding, a.k.a virgizing a.k.a nk😄🤣😂😁😀

PROGRAM iliomo ingine nayo ukiweza kusoma data ya hiyo chip ama EEPROM ya funguo, unaweka tu hiyo data kwa hii program kiisha inafanya uchawi na kurudishiya code ya kuandika kwenye hiyo transponder…ama kama unayo mashine imeonganisha kwa hiyo laptop yako, funguo itatengenezwa moja kwa moja!

DOWNLOAD HERE

Hizi software ni zenye uchawi wa kutengeneza funguo mpya wa au kwa, gari iliopoteza funguo wake, au kuongeza funguo zingine for back up moja ikipotea, then na ukitaka kutoa huu usumbufu wa immobiliser ( a.k.a IMMO OFF) ili gari iendeshwe kwa funguo ya kawaida!
Gari zingine utahitaji tu diagnosis mashine ya kawaida, gari zingine mpaka kungoa au kucheza na data za EEPROM namna tuliokumbusha hapa www.5021.tips/ujanja/keyprogramming
Tumeweka tofauti tofauti za hizi software, maana unaeza kuta moja kuna aina ya gari inakosa, na ingine pia! So, zikiwa software tofauti tofauti pamoja, huwezikosa unaotaka👌!  Aiise, kuna thousands of tested & working dumps za almost kila ECU.

Kwa ufupi, hii PACK ina👇,

Immo OFF za kutoa, kuzima, kupotezea immobiliser signal kwenye gari na kwamba gari inaeza kuashwa kwa funguo lolote!

Virgin virgin files za ku restore immobiliser systems to factory settings ili iweze kupokea funguo yeyote utaiingiza mara ya kwanza!

Emulator with ready-to-use files na maelekezo kuhusu nini namna nani😂😅🤣😁 especially wakati unafanya immo off kwenye badhi ya gari!

Key writing kuwezesha kuandika key code kwenye ECU memory.

PIN caliculators ili uweze kubaliwa ku access data ya ECU zikiwa locked!

Pictures and wiring diagrams za almost kila ECU ! Yaaaani, components , memories, plugs, nk!

Ndiyo, kwanza malizana hapo na SUZAN🍻

Hizo DPF/EGR/ADBLUE/FGK/LAMBDA bonyeza hapa hapa ujue namna ya matumizi🤷‍♂️

Translate /Tafsir /Traduire