kuziima AIRBAG WARNING LIGHT

Ajali ikitokea, kompyuta iliopo kwenye itahifadhi kumbukumbu hili, pamoja na kuasha taa fulani kwamba ata ukiweka diagnosis mashine ili kuizima hiyo taa ya AIRBAG, haiwezekani!
Sasa, huu uchawi wa kuzima au ku reset Airbag kufanya kompyuta isahau chechote, yaaani idanganye kwamba gari ni forever new!
Sometimes, ata gari ikitetemeka/kutikisa ghafla like kama as if imepata ajali hivi, like if U hit a pot hole, alafu taa ya AIRBAG ama SRS inabaki inawaka bila kuzima, kumanisha lazima ubadili vifaa fulani!
Hata ukiweka Diagnosis mashine, waaapi!

Sasa ndo huu uchawi tunakupa saa hii!

Bonyeza HAPA tuliokumbushana kuhusu namna AIR BAG wiring systems,  ma sensor husika, nk!
Pamoja na jinsi kuizima ikiwaka tu bila ajali wala kugonga kitu!

So huu uchawi unakuwezesha  kuzima hiyo taa ya AIRBAG bila kubadilisha vifaa (spare parts) ….namna tulijaribu kuoneshana kwenye hii video hapa chini👇!
Kiisha shuka chini ya video uweze ku download🍻!

👇DOWNLOAD 👇

👆👆

Translate /Tafsir /Traduire