uchawi wa WINDOWS10

Huu uchawi unatibu WINDOWS pamoja na MICROSOFT OFFICE👌! Mashariti ni kwamba wakati unapakuwa (downloading) au ukimaliza lazima uzime antivirus yeyote iliopo kwenye laptop/kompyuta yako!
Mfano hiyo windows defender unaifanya namna,

Search neno Protection kama hujui kuifungua moja kwa moja,  so ikitokea bonyeza open Virus & Threat Protection

Sasa, bonyeza kwenye Virus & Threat Protection Settings.

Just chagua turn off Real-Time Protection.

Wakati unataka ku download, kutratokea ujumbe kama huu, lakini usiwe na au kwa wasi wasi, bonyeza kwenye “More info” kiisha kwenye “Download anyway”
Sasa, ukimaliza ku download, unzip alafu ubonyeze kwenye hicho cha RED (nyekundu)

Ikimaliza itakaa hiiivi


Translate /Tafsir /Traduire