Kwanza, ukumbuke kwamba tuliekezana amost kila ujinga kushu EEPROM work, namna kusoma data na Adress, kubadili, nk!
Kama bado, na ukitaka BONYEZA HAPA!
Ujanja katika uchawi huu, ni kwamba, unaweza kufungua na kulinganisha hizo binary faili tofauti tofauti, kwa pamoja, na ukaoneshwa utofauti uko wapi, insha’Allah🤞!


Ina maana, kama kuna mtu umemutumia faili na akafanya kazi fulani na akakuficha bila kuambia, hu ujanja utakupa umbea wote!
Infact ata wenzako ama hizo software zinazokuomba data ili zikufanyie kazi fulani kama ku delete, DPF, EGR, DTC, IMMOFF, nk, kiisha zinakupa data tofauti baada kuzifania kazi, ukilinganisha data kabla na baada, utajua niaje!


Alafu hapo👇chini kuna programs mbili, use the same password of ‘Pombe mbili tu‘ to download both!
👇👇DOWNLOAD HAPA 👇👇
👆👆👆
EXTRA PROGRAM👇
👇👇DOWNLOAD ANOTHER 👇👇
👆👆👆👆👆
May be whatever is causing You believe MUST do some nonsense to the vehicle, is some minor external problem with the sensors or actuators🤷♂️!
So, this ujanja is how to check, verify all the control electronics in the vehicle, are in proper order!
click here
👇
IMMO OFF files 
☝☝
click
These files to disable immobilizer system so the ecu accepts any random key used!
HAPA UJANJAtu, hii ndio jinsi ya kugundua, kupata na kupima componets za ECU, kisha suluhisha shida hiyo. inshaAllah👇
ECU cloning, duplicating or switching memory data’s,
flash memory data, EEPROM memory data, jogolize data,
HAPA UJANJA tu!
WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye ECU.
Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tu🤷♂️!
Click HERE
Ujanja wa EEPROM work ni muhimu, ukitaka kumbuka niaje,
…bonyeza HAPA UJANJA tu