ZIPPED FILE’s ujinga

Unaeza kutana zipped file kwenye computer au simu, alafu zinagoma kufunguka!
…yaani, kila unapoibonyeza inakuletea maneno fulani,  sijui “file can’t open” mara sijui nini nani, “file want pombe”, nk🤣😁😂!
You know hizo file ambao zimeka kama niaje👇
…alafu ata baada ya kuweka aina unzipper  fulani, ndo zinakaa namna🤔, lakini bado kufunguka zinaongea ki jaLUO🤣😁😂!Good, karibu👍!  Haki sijui kama umeelewa hizo zipped files, but insha’Allah, 😀😁😂!

Hata kama, baada ya kutumia programu fulani, lakini bado inakataa kufungua, usihitimishe tu kuwa imeharibika kabisa!
Naam, insha’Allah, ujanja ni kujaribu kutumia programu tofauti tofauti!
Alafu hizi program ni bure mtandaoni🤷‍♀️!
Hebu muulize, au tumia link hizi tulizoweka hapa chini!
Kwenye simu🤳 BONYEZA HAPA 
Computer💻 HAPA kisha bonyeza download,
ikikataa rudi uchague either 64bit ama 32bit, infact ukibonyeza yenyewe itajua computer ni ya system ipi🤷‍♂️, wewe download tu👌!
WINRAR ikigoma kufungua,
njoo👉 HAPA 👈uweke winZIP!
Na zingine kama Hii!
Vingize nenda kwa google, …bomboclat😂🤣😁



May be whatever is causing You believe MUST do some nonsense to the vehicle, is some minor external problem with the sensors or actuators🤷‍♂️!
So, this ujanja is how to check, verify all the control electronics in the vehicle, are in proper order!
click here

👇
IMMO OFF files
☝☝
click
These files to disable immobilizer system so the ecu accepts any random key used!

HAPA UJANJAtu, hii ndio jinsi ya kugundua, kupata na kupima componets za ECU, kisha suluhisha shida hiyo. inshaAllah👇
Click Here
bonyeza HAPA 

ECU cloning, duplicating or switching memory data’s,
flash memory data, EEPROM memory data, jogolize data,
HAPA UJANJA tu!
click HERE

WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye  ECU.
Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tu🤷‍♂️!
Click HERE

Ujanja wa EEPROM work ni muhimu, ukitaka kumbuka niaje,
…bonyeza HAPA UJANJA tu 


Simple, Buiness Application for Invoice, Receipt, Contacts & stock management, etc

Hii ndiyo programu rahisi, yenye suluhiso ya ankara, au invoyisi, na uhasibu ili kupata mauzo na ripoti za biashara yako, pamoja na kufanya usimamizi wa hesabu, inakuwezesha kudhibiti wateja, mauzo ya wafanyakazi, nk – yote katika sehemu moja, namna ambao video hapo chini inaonesha!

Rekodi wateja na wachuuzi wako wote katika sehemu moja. Unda makadirio au koteshioni (quotations), innoyisi (invoice), risiti ya maauzo (recipts) za kitaalamu ukitumia nembo yako!
Kwa kubofya mara chache unaeza kutazama historia kamili ya wanunuzi, ili kujua wateja wako bora ni akina nani. Yaani ingiza details za biidha zako, au invetory!

Kila wakati utajua ni nini kiko dukani mwako kwa sekunde. Fuatilia orodha yako kama wakati mwingine wowote, furahia harakati za kiotomatiki za hesabu unapounda ankara au kurekodi ununuzi.

Tazama hii video uone niaje, kiisha ushuke chini upakue hii program bila tatizo!

Namna KOTESIONI (quotation)
Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download kwa simu/laptop [337.69 KB]

Namna INVOYISI (invoice)

Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download kwa simu/laptop [337.43 KB]


Namna RISITI (receipt)
Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download kwa simu/laptop [420.59 KB]

SASA DOWNLOAD HII PROGRAM ukitaka!!
👇

👆👆👆👆


WORKERS MANAGEMENT UJANJA (kusimamia wafanyakazi)

As demonstrated in the video below, this automated program is some premium time tracking and workforce productivity measurement tool that helps you productively monitor or manage employees.

Quickly add employees!

Classify your employees!

Get an overview of your employees!

Organize and manage your business entities!

Takes complete control of staff time off!

Understand the job roles and responsibilities clearly, making it easy to recruit the right talent.

It has Learning Management System integrated to allow you promote a culture of continuous learning at the workplace.

Easy Employee Performance Monitoring

Measurable  / Improved Decision Making as this program gives you accurate details about employee performance and other company statistics.
This data helps you design effective programs to drive employee engagement and improve overall productivity.
And so much many alot too much, you kindly watch this video, then go below to download! 

SASA, HAPA NDO PAKUWA HII PROGRAM
👇👇👇

👆👆

Repairing MERCEDES BENZ Start Error (Vito,ML,Sprinter)

Our teams have dealt with a non-start situation with on many Mercedes  Benz vehicles🤠.
The main cause of the START ERROR being displayed on the dash is usually due to corruption of data in two of these Benz vehicles main units🤔!

The Temic immobilizer box also known as the WSP and the ECU, Engine control unit.
We recommend trying a few things before going deep, seen🤔?
Test vehicle’s battery to be in a good state🥂

Try a different key🔑

Try the original key on its own with no other keys surrounding the ignition🧻

If you have done this and you still have the START ERROR message there could be a number of other issues😳!

We recommend having a deep diagnosis to pinpoint where the fault lies, insha’Allah🤞
Common Faults leading to START ERROR on with certain Mercedes Benz:
Jump starting
Battery power not sufficient
The transponder in your key is faulty or missing
Antena coil on ignition faulty
ECU fault
Fuel pump fault
We also recommend testing for power on your WSP plug(may differ🤐)but..

Pin 3 is continuous +12V direct from the battery, Red/Yellow Wire🔌!

Pin 7 is ignition +12V when your key is in position 1 and 2, Black /Yellow Wire📴!
If there is no power on either you will get START ERROR on the dash.
If all seems correct, but still sh*t,
..then HAPA UJANJA tu😎!
DOWNLOAD
👇👇

HERE

👆👆👆👆
(compatible to with all platforms)

 

To waste Your time on BENZ’s DAS
don’t click HERE
FahrBerechtigungsSystem (FBS)
( Masai language)

Drive Authorization System
(DAS),
(Luo langauage)
BENZ  (DAS) KEY PROGRAMMING

This HERE, is some magic for Calculating certain😎,
Mercedes Benz’s DAS (Diagnosis Assistance System),
and or,  XENTRY passwords🤐!

This nonsense HERE could help You generate codes for advanced functions, like Adaptation, SCN Coding, etc, that requires specific vehicle data (VIN, ECU info)👌!

So, THIS is some  HAPA UJANJA tu 🤪to bypass zyx for xyz functions like EGR, DPF, and other Benz’s Data resets😉!
Click HERE 

In fact THIS useless kit could be useful showing certain components on certain Mercedes Benz’s !
Click HERE not to download
👇

This nonsense HERE provides accurate wiring diagrams and detailed component location information for Mercedes-Benz vehicles, which is NOT essential for inefficient  electrical system diagnostics &  repair😜!
Click HERE not to download📲💻!


Remember, it’s NOT just a singular factory defect, but seems a systemic weaknesses in those generations of certain Mercedes Benz to be fond of that “Start Error“!

Click HERE, solve that ‘ujinga’ found on especially likes of, Vito, ML, A-Class, Sprinter, and some other models!

This nonsense HERE could be use, sorting out that ‘ujinga’ that often points to common electrical/immobilizer issues! 


May be whatever is causing You believe MUST do some nonsense to the vehicle, is some minor external problem with the sensors or actuators🤷‍♂️!

So, this ujanja is how to check, verify all the control electronics in the vehicle, are in proper order!

click here


👇

IMMO OFF files

☝☝
click
These files to disable immobilizer system so the ecu accepts any random key used!


HAPA UJANJAtu, hii ndio jinsi ya kugundua, kupata na kupima componets za ECU, kisha suluhisha shida hiyo. inshaAllah👇

Click Here
bonyeza HAPA 


ECU cloning, duplicating or switching memory data’s,
flash memory data, EEPROM memory data, jogolize data,
HAPA UJANJA tu!

click HERE


WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye  ECU.

Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tu🤷‍♂️!

Click HERE


Ujanja wa EEPROM work ni muhimu, ukitaka kumbuka niaje,
…bonyeza HAPA UJANJA tu