Jinsi unafahamu🤔, ukitoa battery ya gari au ukichokonowa chokonawa radios, itakuuliza neno la siri (password)🤷🏼♂️!
SO kama hauna hii password, bhasi hiyo radio itakata kufanya kazi.
Sasa hapa tunakupa ujanja wa namna kupata hiyo password namna tunaelezana kwenye hii video👇, kiisha ushuke chini uweze ku download hii software👩🏼🔧!
Serial number mara nyigi unakuta nyuma ya hii radio baada ya kuifungua😎
DOWNLOAD
👇
RENAcode
1 file(s) 36MB
RENAcode
1 file(s) 36MB
👆