Kama unavyotambua, magari ya zamani hayakuwa magumu, yaani, mifumo ya wiring ilikuwa rahisi, hayakuwa na hizo bla blaa ya sensor, ECU, nk!
Sasa, magari ya siku hizi ni vinginevyo, kuna gadgets nyingi, gari zina usalama zaidi, spidi zinaeza kimbia zaidi kwa kutumia mafuta kidogo, nk!
Ili kuweza kufikia huo ubora, usalama, faraja, spidi, nk, ilibidi waanzishe au kuongeza vifaa hivyo katika kila mfumo husika, Enigine, Transmission, Wheels, nk, na hivi ndivyo tutakavyokuwa tunajifunza, jinsi gani inafanya kazi, jinsi inavyotengenezwa, inafanya kazi wapi, system au mfumo upi inapofanya kazi, n.k, bila kusahau jinsi ya kutatua au kurekebisha ikiwa kuna shida!
Ukibonyeza HAPA kuna ile niaje, maana ya CONTROL SYSTEM, yaaani, mfumo ambao matokeo yanategemea maingizo!
X + 5 = Y
(5 haibadiriki ni control, lakini X au na Y inaeza kuwa chechote)!
X ikiwa 2, ina maana Y itakuwa 7
2 + 5 = 7
Ina maana ukitaka matokeo yawe tu 7, lazima X iingie ikiwa 2, au na vinginevyo! Ukitaka matokeo au Y iwe 9, hapo lazima X iongezeke kuwa 4!
Neenda HAPA uone niaje, sio lazima, sema tu ni bora ata ukiona pich kama hii ya ECU system, italeta maana kwako!
Alafu,
Kwa mfano, kwenye mfumo wa ingini, ili kuongeza nguvu, bila gari kutumisa mafuta mengi, pamoja na bila kutoa moshi kuharibu mazingira🤔, wataalamu waligundua namna ya kuchunguza (CONTROL) mafuta na hewa inaoingia kwenye engine…pamoja na kuchunguza huo moshi unaotoka kwa engine🙄 ili husiharibu mazingira nje ya gari.
So waliweka sensor za kuchunguza na kupeleka umbea kwenye ECU/control box (computer), alafu ndo computer iwaambie actuators kazi ya kufanya, kulingana🤷🏼♂️!
UKITAKA UNAEZA KUTAZAMA HIII VIDEO
MIFUMO YOOOTE TULIEKEZANA KWENYE HII PAGE
Loading...
May be whatever is causing You believe MUST do some nonsense to the vehicle, is some minor external problem with the sensors or actuators🤷♂️!
So, this ujanja is how to check, verify all the control electronics in the vehicle, are in proper order!
click here
👇
IMMO OFF files 
☝☝
click
These files to disable immobilizer system so the ecu accepts any random key used!
HAPA UJANJAtu, hii ndio jinsi ya kugundua, kupata na kupima componets za ECU, kisha suluhisha shida hiyo. inshaAllah👇
Click Here
bonyeza HAPA
ECU cloning, duplicating or switching memory data’s,
flash memory data, EEPROM memory data, jogolize data,
HAPA UJANJA tu!
click HERE

WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye ECU.
Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tu🤷♂️!
Click HERE
Ujanja wa EEPROM work ni muhimu, ukitaka kumbuka niaje,
…bonyeza HAPA UJANJA tu





