As demonstrated below, you browse a list of ECU models, including Bosch, Denso, Marelli, Continental, Siemens, etc,Β and select the required one.
Very easy/simple to use! Just insert/write the OBD code you want delete! In fact, delete multiple codes, and save changes.
This allows you disable, as in, to permanently fool the ECU of certain parameters in the internal ECU logic so it never thinks otherwise in case, the fault codes will never be logged!
The MIL light will NEVER turn on for thee!
HAPA UJANJA tu!
….go below the video to keep this ujanja until forever, amen!
Ata hizi diagnosis mashine za kawaida zina uwezo kukamilisha kufanya kazi fulani, Key Programming, ECU programming, anyΒ Ujinga programming,
…ukiwa na SECRET CODES fulani, seenπ€?
Infact ata ikiwa kwenye zile mashine maalum za key programming, najua mara nyingi una, uta ama umekutana sehemu ya kuhitaji SECRET CODES fulani wakati unajaribu kafanya ECU au ufunguo (ECU au ama Key Programming) kwenye gari au pikipiki, alafu unakwama kwasababu mashine inakuitishaPINfulani!
HAPA UJANJA tuπ€ΈββοΈ
Kwanza kabisa, kwa ubora zaidi, tunadhania umejifunza au umekumbukaΒ yafuatayo!
π
Namna, jinsi au ufanyaji kaziΒ IMMOBILISER SYSTEM wa magari! Kama badoBonyeza HAPA!
Tena, hiki kitabu nacho kinakupa mwongozo fulani au mwanga. just to get some kind of inference how sh*t is done!
Ni PDF unaweza kukisomea kwenye simuπ² yako au computer! bonyeza HAPA!
Kazi zingine utahitaji ku deal na blaa blaa ya FLASH au EEPROM data kuweza kupakuwa hiyo PIN utahitaji!
Ukitaka kupita kuhusu ujanja wa EEPROM works, bonyeza HAPA!
Na tena ukitaka kujua hiyo chip au EEPROM ya kusoma data iko wapi! Kuweka hii program ata kwenye simu au computer,bonyeza HAPA!
Au ukitaka kujua mashine yipi inaoweza kufanya kipi kwa kwenye gari fulani,unabonyeza HAPA!
Sasa, najua umekutana wakati unajaribu kafanya ECU au ufunguo (ECU au ama Key Programming) kwenye gari au pikipiki, unakwama kwasababu mashine inakuitisha PIN fulani!
Mashine inaeza kuwa hizi diagnosis za kawiada au ata mashine zenyewe za kufanya key programming nazo (zingine au nyingi nyigi) zinaulizanga PIN!
Sasa, tumekosanya uchawi wa namna ya kupata hizi PIN kwa kila aina ya gari!
Kama hutaki kuendelea kusoma hizi blaa blaa, shuka chini ya hii page uweze ku download ata kwenye simu!
Tumeweka au kuoneshana namna ya kufanya kwa kila! Unaeza kuta zingine unaingiza tu Chasis number ya hiyo gari na ukapata PIN ya hiyo funguo, zingine unaingiza tu PartNumber ya kifaa fulani, inaeza kuwa ya ECU au IMMO BOX au INSTRUMENT cluster, au anything!
Mifano tuπ
Kwenye NISSAN fulani inaeza kuta unahitaji hiyo 5 digit code imezungushwa kwa ki red box kwenye label Inaeza kuwa kwenye Toyota, may be hiyo mashine uliyo nayo haiwezi kufanya uchawi wa PIN automatically, kwamba unahitaji kuingiza hiyo SEED NUMBER uweze ku caliculate hiyo PIN CODE kama hapa chini!Inaeza kuwa umekwama na VW/AUDI kumbe ujanja ni kuifungua na kusoma data kwenye EEPROM fulani kwenye instrument cluster amabapo code imejicha!Unaeza kuta gari zingine, funguo hijapotea, lakini imegoma tu kuasha hiyo gari na inaitisha PIN fulani, kumbe uchawi ni kufunguo tu hiyo ufunguo usome keyTAG na paaaaa….
aode
mitsvazSWA
swamitsu
flashEN
FlashSW
ml
aotadakey
enPROG
swaPROGr
272764590_128787566304534_1345823714250307931_n
πππ
UKITAKA DOWNLAOD, kwenye simuπ² au kompyutaπ» π
May be whatever is causing You believe MUST do some nonsenseΒ to the vehicle, is some minor external problem with the sensors or actuatorsπ€·ββοΈ!
WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye Β ECU.
Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tuπ€·ββοΈ!
Hiki kitabu kinajaribu kufafanunlia maana ya OBD fault code, wapi tatizo lilipo kwenye gari, pamoja na umbea wa ziada wenye namna tofauti tofauti chakufanya ili kutatua hilo tatizo!
So try go through it, uone kama kinaeza kuwa kitabu mhimu kwako! Kama kuna maneno ya kingereza huelewi, tumisa ile app ya kutafsiri maana!
Especially kwenye hizo gari zenye haziina hii OBD socket mpyaya 16PIN, pamoja na kwamba diagnosis mashine za siku hizi zinakuanga na socket moja juu siku hizi gari zote ni zenye hiyo socket moja! Ina maana gari yenye socketi tofauti ikitokea huwezi kupima kwa mashine!
….so HAPA UJANJA tuπ¨βπ