MAP sensor, au, Manifold Absolute Pressure Sensor, inapima kiasi au uzito wa mkusanyiko wa hewa uliopo kwenye ‘intake manifold’!
Mkusanyo wa hewa ukijumulisha na hewa inaotoka njia za mfumo zingine kama, EGR, TURBO, PCV, nk!Manifold ni hicho ki bla blaa kabla hewa kuingia cylinder au baada ya Throttle
Hii sensor inaeza kuwekwa popote, kulingana gari, ili mradi kuna njia yakufikia kupima hiyo hewa!
Ukitaka maelekezo mengine ya ndani ndani, namna inavyofanya kazi wapi vipi, nk, unaeza kutazama hii video
May be ukitaka kuelewa zaidi kuhusu huo uchawi wa Piezo ambao Pressure sensor nyingi zinategemea, bonyeza HAPA kwenye hii link au picha hapa chine LINK
Sensor hiyo mara nyingi inaka namna hii!
Jinsi yalivyoelezwa yote kwenye hizo video, sensor hii inaweza kuwa na waya tatu au waya nne.
Mara nyingi reference voltage inakuwaga 5V kutoka kwenye ECU!
Weka igntion-ON, chunguza umeme kwenye hizo waya!
May be whatever is causing You believe MUST do some nonsense to the vehicle, is some minor external problem with the sensors or actuators🤷♂️!
WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye ECU.
Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tu🤷♂️!
The purpose of this section is to help you understand the general diagnostic process that you will follow regardless of the type of customer concern you are troubleshooting…
…..and also to know about the features of diagnostic tools that will help you with greater accuracy and speed…
….not forgeting the lay out the troubleshooting steps and resources you will need to follow when diagnosing customer concerns.
There some key programming procedures the not require sophisticated keyprogrammer tools/skills that any tom dick and harry can do it yourself🤷!
In here☝☝are diy tips and tricks ufanye mwenyewe!
👆☝️ These instructions could even help if lostkeys, sparekeys, car remotes, as in, carkeyremote😂 not RCcars!
This manual is about that direct petrol injection and ignition system (4cyl. 2.0 ltr. 4-valve turbo) and it is, this is designed to help you perform necessary diagnostics, maintenance, service, and repair procedures on any applicable AUDI engines! Infact better download and even print out this manual, necessarily🤷♂️
Gari za siku hizi ni kama mwili wa mwanadamu🤔! Sasa, hiyo CAN BUS ni kama ni mfumo wa neva, yaani nervous system, unaowezesha mawasiliano wa kila mfumo wa mwili!
Ndiyo, hizo ECU zione kama vipande vya mwili vilioonganiswa na huu mfumo wa CAN BUS!
CAN BUS (CAN = Controller Area Network) alafu BUS ni kama basi la abiria🤔!
Kwenye basi la kutoka Kampala kwenda Nairobi, munaingia wengi lakini kila atashuka sehemu tofauti, kulingana, Jinja, Busia, Eldoret, Nakuru, nk, hadi Nairobi!
So, CAN ni muungano wa ma kompyuta ziliopo kwenye gari kwamba zinawasiliana, kupeana msaada…
…kugawana ujumbe muhimu, kutoka kwenye hisia ama sensor zisipo katika mifumo wa ecu zingine!
Mfano👇, D, kompyuta ama ECU ya SUSPENSION ikihitaji umbea kuhusu speed, mwendo wa gari, itapata umbea huu kwa njiaCANBUS!
A, ambao ni Computer ya ABS yenye X, speed sensor zinazochunguza mwendo wa gari, itaweka signal hii ya speed, kwenyeCANBUS🤷♂️!
…kuliko kwamba waya za speed sensor zitafungwa kwa kila computer ya gari itahitaji kujua mwendo wa gari🚒!
WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye ECU.
Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tu🤷♂️!
Nguvu za ule moshi unaotoka kwa engine unatumika kuzungusha aina ya kama pampu fulani hivi, na wakati wakuzunguka hii pump inanyonya au kuvuta hewa kutoka nje ya gari ili kuongeza kiasi cha hewa engine inahitaji kufanya kazi vizuri namna tulijaribu kueleza humu!
Na pia kuna hizo pressure sensors, temperature sensor, nk🤷🏼♂️ !
AIRBAG system iko na sensa ya kuchunguza kutikisa, ina maaana gari ikitikisa gafla kupiita kiasi isio ya kawaida, hii sensor ‘sensa’ itapeleka umbea chap kwenda kwa ECU (control boxi)!
Sasa, ECU ikipata ujumbe, kulingana, itapeleka moto (power) kwa defletor na kulipuwa AIRBAG namna tulijaribu kuoneshana hapa👇pamoja na chakufanya ili kutoa/kuziima hiyo taa ya AIRBAG👨🔧
Ajali ikitokea, kompyuta itahifadhi kumbukumbu hili, kwamba ata ukiweka diagnosis mashine ili kuzima taa ya AIRBAG haiwezekani!
Sasa ukibonyeza HAPA kuna ka uchawi ka kuzima au ku reset Airbag kufanya kompyuta isahau chechote, yaaani idanganye kwamba gari ni forever new!
Kuzima AIR BAG bila mashine, kulingana especially kama gari hapana kupata ajali👇
Huu uchawi wa PIZOELECTRIC EFFECT ni kwamba, ukigonga au kukandamiza kitu kiliotengenezwa kwa ile kemikali ya crystal blaa blaa😂🤣😁, hicho kitu kinaweza kuzaa umeme. TENA ukipitisha umeme katika hicho kitu, kitatemeka (to vibrate/shake or move)! So ni vice versa namna tulijaribu kuoneshana kwenye hii video🤷🏼♂️
Kwa kutaka kuongeza nguvu ya injini za magari, kwa bila kutumisa mafuta mengi, wala kuharibu mazingira🤔, wataalamu waligundua namna ya kuchunguza mafuta na hewa inaoingia kwenye engine… …pamoja na kuchunguza huo moshi unaotoka kwa engine🙄 ili husiharibu mazingira nje ya gari.
So waliweka sensor (vitambuzi) kuchunguza na kupeleka umbea kwenye ECU/control box (kompyuta), alafu ndo ECU iwaambie actuators kazi ya kufanya, kulingana🤷🏼♂️! Sasa, kwasababu engine ya gari inategemea mafuta na hewa ili kuweza kufanya kazi, ndo maana njia za mafuta na hewa pamoja na hewa chafu (moshi) waliweka hizo sensor na actutors! So we shall look at all the sensors on in each systems as elaborated in this stupid video😉!
AIRFLOW METER SENSOR
Either, kwenye upande wa hii sensor, ni kupima tu ujoto, AU kupima ujoto pamoja na uzito wa hewa inaoingia ndo hapo inaitwa Mass Airflow meter sensor!
Ikiwa inapima tu ujoto inakuwa na wire 2 tu
Iiwa inapima ujoto na uzito wa hewa, inaweza kuwa na🤔, > 5 wires (2 yakupima joto, 3 za kupima uzito) >4 wires (ground au negative wire ya upande wa kupima joto iko pamoja na ya upande wa kupima uzito) >3 wires hakuna upande wakupima ujoto, inapima tu uzito wa hewa!
Hii video👇 tulioneshana, kwa ulefu pamoja na taka taka zote, namna hii sensor inafanya kazi, pamoja na kupimwa ikiwa natatizo👩🏼🔧
Hewa ikifika kwenye inlet manifold itakutana hewa ingine inaotokea njia zingine kama Turbo, EGR, EVAP system, nk!
Ina maana lazima au bora kuwepo namna ya kupima jumla ya hewa iliopo kwenye manifold kabla kuingia kwenye engine🤔 hapo ECU ama control ijue kiasi cha mafuta itafanya injector zitoe😎!
So, hii MANIFOLD PRESSURE SENSOR ndo inapima jumla ya hewa iliopo kwenye inlet manifold! Hii sensor mara nyigi ni 3 wires🤔, moja ni 12V au 5V, ingine ni Negative/ground, Ingine ni ya SignalHii sensor ilitengenezwa kwa uchwa waPIEZOELECTRIC EFFECT, ukibonyeza hapatulijaribu kuonesha maana ya huu uchawi
Otherwise nama hii sensor inafanya kazi na kupimwa ili kujua kama ina tatizo, tulijaribu kuineshana katika hii video
ACCELERATOR PEDAL POSITION SENSOR
Sii ujajua hizi gari za kisasa kile ki pedal ni cha umeme⚡ tofauti kwa zile gari za zamani kulikuanga ka metal fulani🙄Sasa hii sensor ina sensor mbili kwa moja, because the other ni ya emegency kama upande moja ukiharibika, namna ya ufanyaji kazi na kupimwa in this video👇
Baada ya kuganyaga kwenye accelerator pedal umbea unapelekwa kwa ECU (control box) ili ijue namna ya kunfungua hiki ki blaa blaa THROTTLE cha kuruhusu hewa ingie kwenye Engine! Hii ELECTRONIC THROTTLE CONTROL iko na kile kiko ka ulimi ya mtu hiivi kufungua na kufunga🤷🏼♂️! Kuna mota (motor) ya kutembeza hiki ki ulimi!
Na kuna sensor ya kuchunguza hiki ki ulimi kimefunguka kiasi gani🤔! Namna ya kupima AND ufanji kazi tazama hii video😎
Bila kufunga mfuniko wa kwenye tenki la mafuta, inasababisha upepo wa nje kuingia au ata mafuta kupotea kwa nja ya upepo (Evaporation)🙄!
Sasa, ili kuhakisha unafunga mfuniko wa tenki, kuna sensa iliwekwa ili kwamba usipofunga, kuna taa itaonesha kwenye instrument cluster au ata taa ya check-engine yenyewe…au kuna uchawi ECU inafanya kwenye gari ili isitembee vizuri mpaka ufunge huu mfuniko😎!
Jinsi unavyojua🙄, ukiweka kitu chochote kilivyo kama maji (liquid substance) kwenye kama dumu hivi, ukichezesha (shake) hiyo dumu, kuna pressure inatokea!
Sasa, ata maafuta kwenye tenki la gari, kila gari ikitembea obviously inacheza so yale mafuta kuna uchawi unatokea kuyafanya kubadilika kuwa ya upepo na kuongeza pressure kwenye tenki, ndo maana kuna FUEL TANK PRESSURE SENSOR yakuchunguza kiasi cha pressure kwenye tenki😎!
Wakati gari inatembea, inachezesa tenki na kufanya yale mafuta (kama maji) kubadilika au ku evaporate kuwa upepo🤔!
Sasa, hii EVAP SYSTEM inaosaidia kufanya uchawi ili yale mafuta ya upepo yasichanganyike au yasiende kwenye njia ya mafuta ya maji! Hii EVAP SYSTEM iko na njia mbadala yakupitisha upepo kwenda kwenye manifold au nje ya gari kulingana😨!
Kuna ile meter ya kuchunguza kiasi cha mafuta kwenye tenki (tank), kuna pump, kuna ka sieve ka kusfisha hayo mafuta, na🤔….jinsi tuanelekezana kwa hii video👇!
FUEL PRESSURE REGULATOR
Zamani, kwenye mfumo wa mafuta ya gari kulikuwanga pipe ya kurudisha mafuta kwenye tenki yakibaki, sasa kwa hizi gari mpya kuna sensor yakuchunguza kiasi cha mafuta yanaohitajika NA ndo hayo mafuta yatakaporuhusiwa kutoka!
Ndo sababu ingine kwanini unaona ka pipe moja kwenye tenki! Sasa, tulijaribu kumbushana uchawi kwenye FUEL PRESSURE REGULATOR👨🔧
Ukitoa mugu kwenye accelerator pedal (ile yakuongeza nguvu ya gari) ata ule mfuniko wa kuruhusu hewa ingie kwa engine unaziba🤐 ina maana engine ikikosa hewa itazimika🤷🏼♂️!
Sasa uchawi wa IAC valve ni kufungua ka njia fulani ile hewa ipite kufika kwa engine ata ukitoa muugu👌 au tuseme ukitoka kwa gari inaendelea kuaka!
Assuming kwamba unajua crankshaft au camshaft ni nini, sasa ili kuweza kujua muda gani wakati cylinder fulani inafanya kitu gani na inahitaji nini, hizi CAMSHAFT na CRANKSHAFT POSITION SENSOR kuna uchawi unaziwezesha kujua ipi niaje, na kupleka huu umbea kwenye computer ya gari namna tulijaribu kumbushana au kuoneshana🍻
Jinsi unavyojua, kifaa chenye uwezo kutembeza umeme kinabadilika kulingana ujoto au ubaridi🤔!
So computer ya gari inatuma umeme kuzunguka kwenye hii ENGINE COOLANT TEMPERATURE SENSOR , kuligana ujoto/ubaridi umeme (volts) zitazorudi kwa computer, either itapungua au kubaki niaje namana tulioneshana👨🔧
Hii KNOCK SENSOR ione kama microphone, inachukua au kusikilizia sauti ya engine na kupelekea ECU (control box) umbea!
Sasa kuna sauti ya kawaida ya engine ambao ECU imezoea, so like mafuta + hewa yakichomwa kwa muda au mahali ambao sio sahihi ya kwamba sauti ya engine itabadilika, hapo ECU ikipata sauti tofauti ya engine kupitia hii KNOCK SENSOR itajua kuna uchawi wa engine knock (a.k.a detonation) umetokea!
Obviously unafahamu kwamba baada ya engine kuchoma mafuta + hewa kuna moshi unaotokea🤔, sii unajua au unaona huo moshini chafu, lakini huu moshi unafanywa kuzunguka kurudi au kuungana na ile hewa safi inaotokea nje gari!
Sasa, huu moshi kufanywa kuzunguka na kurudi kwenye engine kuna uchawi mwingi unatokea, kama kushusha temperature ya engine, kupunguza moshi unaotoka nje ya gari ili usiharibu mazingira, na blaa blaa blaa zingine!
Sasa hii EGR system unakuta kuna sensor & actuator nyigi ambao unapswa kujua au kumbuka👨🔧!
Jinsi unafahamu, engine inahitaji mafuta & hewa ili vichanganyike vichomwe ndo engine ipata nguvu😎, ndiyo lakini kuna namna hewa & mafuta yanapaswa kuchanganyikwa (a.k.a stoichiometric ratio) as in kukiwepo mafuta lita 1 lazima hewa iwe kama lita 15🤷🏼♂️!
Sasa, kukitokea na pamoja kuzuia uchawi kama mafuta yanakuja mengi au madogo, kuna hizi OXYGEN SENSOR ambao zinachunguza moshi unaotokea baada ya mafuta + hewa kuchomwa, so huu umbea unahusiana kuhusu hizo OXYGEN SENSOR, ziko wapi, zinafanyaje kazi, kupima nini, na blaa blaa zingine👌!
Sii unajua ufanyaji kazi wa engine, piston inanyonya hewa+mafuta alafu inagandamiza (compress) then blaa blaa kuchoma🧐, sasa kwenye kugandamiza (compress) kuna hewa + mafuta ina bypass kati ya piston na cylinder wall kujikuta kwenye sump (dumu ya oil chini ya engine)!
Sasa kutoa hii hewa kuna ka pipe kanawekwa ili kunyonya huu upepepo as we tried show in here🎬
Kwenye AUTO TRANSMISSION, uchawi zaidi zaidi ni wa valve ambao valve zinategemea solenoid, zingine ni pressure sensor na temperature sensor!
SO, kama ulihelewa vizuri kuhusu blaa blaa za hizi sensor kwenye system zingine, then ili muradi picha inakuonesha hii sensor iko wapi, then troubleshooting AUTOMATIC TRANSMISSION troubles ni kama kunywa maji🍻!
Uchawi kuweza blaa blaa ya ma sensor, control boxi, sijui actuators ni kujua mfano ni sensor gani, iko wapi, inafanya kazi gani, inafanyaje hiyo kazi as in iliundwaje (how it is made), nk!
So ukipata umbea huu wote ndo utajua inahitaji kupeleka au kutoa umeme gani kutoka wapi au blaa blaa as we explained in here👨🏼🎓 !
WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye ECU.
Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tu🤷♂️!
Jinsi hii video inakuonesha, hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk! Yaani unapata almost kila umbea mhimu👌!
Ukibonyeza HAPA kuna taka taka kuhusu immobiliser systems, data au uchawi wa immo off, virgin data zote
bonyeza tu👨🏼🎓 HAPA!
Technologia inabadilika kila sekunde, so ukiona mashine fulani ndo ilitumika, usikulupuke kununua hiyo mashine unaezakuta kuna mashine ingine mpya/bora!
Hiki kitabu kikusadie tu kutoa mwanga kwa macho yako, nenda ufanye research nyingi zingine bora🙏🏼!
Ujanja wa EEPROMwork ni muhimu, ukitaka kumbuka niaje,
…bonyeza HAPA
WinOLS ni programu yenye uchawi wa kuwezesha kubadilisha, kurekebisha data iliyomo kwenye ECU.
Ina maana unaeza kutoa/kuzima hizo mifumo zenye usumbufu kwenye gari, zikiwemo IMMOBILISER (kufanya immo off). kutoa DPF, EGR, ADblue, kubadili TURBO zenye umeme, yaaani inafanya kazi nyingi kama ECU tuning, uamuzi ni wako tu🤷♂️!
We are disorganized🤧🤮!
Here, You could get a general understanding, a setup of a Vehicle’s Immobilizer System🤠!
Otherwise We, further, deeply & separately, discussed every specific brand’s system 🤷♂️!
We demonstrated how KEY PROGRAMMING is done on different vehicle brands, lost keys, spare keys, immo OFF😎 immo ON!
As in, all vehicle brands, like, Benz, Toyota, LandRover, Isuzu, Volvo, Suzuki, Sozi, DongFeng, etc🚙🚎🛺🚑🚗! In no particular order We keep adding whatever nonsense that comes up,insha’Allah🤞!
We packing loads of rubbish here, very useless! Just make sure You can make sense out of this nonsense, seen🤷♀️?
Our things are very disorganized, just fight to get what could be useful, insha’Allah✌
Whether, Keys typeX or typeY,
make sure You be able to do spare keys, lost keys, synching (adapting/programming) whatever involved ECU,Z, hardware wherever necessary👌!
Niiiga, at least have an idea, bomboclat😁🤣😂!
Below this page👇,
there is a list with links to every specific Vehicle🧐 !
Kindly study this picture,
make sure you’re not drunk & drank🤪!
Remember, We have 2 types of Keys, Smart Keys (Y) & Analog Keys (X) with metal😜!
Staring with Analog Keys (X)
S) The bitting, ama, the grooves on the key blade,
can be used for Electronic Engine Immobilizer System👌! The complex grooves like the paracentric or laser-cut patterns can be almost impossible for picking and unauthorized duplication🤷♂️.
How electronic🤔? HAPA UJANJA tu🤪!
In some vehicles, when👇 the correct key, A, turns the door-lock switch, B, a signal is sent to the Pneumatic System Equipment Pump (PSE), C, controller, to unlock the doors, at the same time enabling the immo relay, D, that is linked to the Engine Starter🤷♂️!
See how why some vehicles, without first unlocking the driver’s door lock, NO engine crank🤷♂️!
Remember😉, You may clickhere if you want buy us a drink🍻! Jazak’Allah🤞
Assuming You’re familiar with ELECTROMAGNETISM magic!
Otherwise CLICKHERE
Try to imagine🤔, some special ‘things’, material, that can excite or be excited, by Electromagnetism magic🤔!😂🤣
I’m finding means of how You could understand the ‘special things‘ (transponders) used in keys🤪!
For now, I’m using the words “special things” because We don’t yet know about transponders, seen🤔?
So, bare with my nonsense🤣😂🤪!
Anyway, continue imagining, how these small ‘special things‘ (T) are made🧐!
Note that, these ‘special things‘ (T), can change or can be changed by the Electromagnetism magic!Longer story, shorter😜!
Use the picture below to continue imagining🤔!
S) Imagine this ‘special things‘ (T or 2T, 3T) has particles inside🤔! These particles are arranged in a normal, usual (unprogrammed) way👌!
O)Remember, the particles in the ‘special things‘ (T or 2T, 3T) can be excited (changed) programmedusingElectromagnetism magic, using whichever tool (2J)!
Z)These particles in the ‘special things‘ (T or 2T, 3T) have been permanently (uniquely) excited (programmed) at (S) to (Z) or (I) or whichever, depending on the magic is uniquely done by tool (2J)!
As in, the arrangement of the particles in the ‘special things‘ (T or 2T, 3T) have been rearranged, looking as different particles in the new different ‘special things‘ (T1 or 2T1, 3T1)
J)This ‘special thing’, for example, (T) that was, permanently & uniquely, excited to form (T1)!
Yes, this new (T1), if put in an electromagnetic filed, formed by coli (J),
this new ‘special thing‘ (T1) will ‘disturb’ excite the magnetic filed the same unique way,
how it was permanently excited at (O),
from (T) to (T1)!
A pulled or stretched spring, or, a rubber band hits back with same force that pulled it🤷♂️! The unique magic that happens at (J), is perceived as the unique password, or data, or whatever😂🤣🤣!
Now, stop imagining, wake up😂🤣😜! Remember our photo🤔?
Look😳 at this picture below👇!
P) Using a given algorithm (transponder data),
the tool (2J) is commanded to uniquely excite program ‘the special thing‘ (T), to change it’s particles’ arrangement, into a newer, unique arrangement (T1)!
F) Using the same (P) algorithm (transponder data), the electronic device (F) is commanded, programmed to only expect, accept, the same magic that was used to uniquely excite, program the ‘special thing‘ (T) to change (T1)!
Meaning that, the magic that (T1) causes at (J), should be the same magic that produced it, from T😉!
Remember, a pulled or stretched spring, or, a rubber band hits back with same force that pulled🤷♂️!
So, the force that pushed (T) to become (2T),
is the same force (magic) that will be exerted at (J)🤷♂️!
HAPA UJANJA tu🤪!
A ‘special thing‘ is put in a vehicle’s key (E)!
Somewhere in on the car,
some electronic device (F) is also put, installed to detect, listen to the havoc (magic) that the ‘special thing‘ in the key, causes at( J)🤷♂️!
Don’t imagine🤣😂,
all this whatever nonsense is the vehicle immobilizer system!
That ‘special thing‘ (T1, 2T1, 3T1) in the key (E)
is known as a Transponder!
The electronic device (F), that listens to the havoc (magic) caused by the transponder (T1, 2T1, 3T1), is the immobilizer electronic control unit (immo ECU)
Some call it “immo box“🤠!
The “immo box” could be a separate unit,
OR,
Could be virtually hidden in the (D) engine’s electronic control unit (engine ECU),
OR,
hidden in some other device,
could be Instrument Cluster (C), Body Electronics’ Control Unit (B),
or wherever even Tyres😜🤣😂!
Remember😉, You may clickhere if you want buy us a drink🍻! Jazak’Allah🤞
A) When the Transponder key (E) is turned to switch-ON (zungusha), the immobilizer electronic control unit (A) causes an electromagnetic field at the ignition switch (J)👌!F) Whatever magic that,
that Transponder (T1 or 2T1 or 3T1) within the Transponder Key (E),
that kind of excitement (magic) caused to the electromagnetic field at (J),
should match with whatever data is stored in the EEPROM (F), seen🤔?!
LOST KEY🤔?
“Whatever” is in the lost key (E) is the same as what is saved in EEPROM (F), iwinjo🤔?
You have read, and now You have the Transponder Data, that is stored in EEPROM (F)!
P) You have read the Transponder data (P),
from the immobilizer EEPROM (F)!
2J) Get an empty Transponder (T),
then write theTransponder Data (P),
using whichever tool (2J), finish🤷♂️!
HAPA UJANJA tu🤪!
S) These Transponders (T, 2T, 3T), are virgin, blank with NO unique Transponder Data🧻🍻!
The Transponders are waiting to be excited (Programmed)!
S) These Transponders (T, 2T, 3T), are different👌!
There are sub-Types, within each type of Transponder!
Like Transponder Type (T) ,
You will find versions, 4C, 4D, etc!
..and again within 4D,
there are other extra versions of4D,
like 4D67, 4D50, 4D21, 4D5021🤣😜😂, etc!
Z) The unique Transponder Data (P) is what makes (T) to either become (T1) or (T2) or (T3) or (T5021)😂😜🤣!
That is why even if vehicles (S, O, Z, I) are the same, with their Transponder Keys all looking the same, the data in their Transponder Keys, is very different😎!
The key for (S) can’t work on (O, Z, I) and otherwise true😂🤣!
Yes, some EEPROM stores the Immobilizer Data🤠!
But, the Immobilizer Control Unit (immo ECU) has many EEPROMs on it’s motherboard😎!
Some SMART KEYS are just, smart atCAR ACESS, notENGINE START🤐!
S) Key must be inserted then press START/STOP button🤮!
O) Key must be inserted then twisted, turned to START/STOP😳!
Z) Everything Keyless😜!
Whether, CAR ACESS or ENGINE START,
the key keeps hidden in the knickers👌!
Using(O) for example🧐!Its ‘technology‘ is almost as,
good as the ‘analog’ metallic Transponder Key🤣!
Assume, Keys (S) & (O), as just ‘semi–SMARTKEYS‘👌!
Lets do the fully SMARTKEYS (Z)Let’s use of them for this study😉! Whatever mix of, Wireless & Electrical, Technology used in the SMART KEY, insha’Allah🤞!
Just know that the ‘thing’😂switches electrical data into radio-wave data
back and forth😂🤣
If You wish to deep into electronic components on any control unit’s motherboard, circuit board, then..
Back to our SAMRT KEY😂🤣Study this picture👇 it’s SMART KEY system’s algorithm!
NOT that every smart key’s the same, ..but similar🤠!
It’s the ENGINE IMMOBILISER (start) FUNCTION😉!
H) The smart key is in the pocket🤷♂️
K) Press START/STOP (K) button that is linked to (F)!
F) The BCM (F) quickly powers (G) and (D)!
G)The LF antenna (G) tickles the Key to spit out it’s ID!
D) The HF antennasends the received ID (X) to ( E)!
E) The Certification, smart ECU (E) verifies Key’s ID!
Tells BCM (F) the ‘hakuna matata’ key is ok😜!
F) The BCM (F) just allows for Ignition Switch-ON!
(That is, if brake or clutch pedal (J) was NOT pressed)
NOTE📌
The BCM (F) has power supply sessions👌!
A session to power ON the antennae (D & G)!
A session to power ON Certification Smart ECU (E)!
A session to power ON the ID-code ecu (B)!
J) If the BCM (F) gets both signals,
from START/STOP button (K) and
from the brake or clutch pedal sensor (J)!
It means the Engine needs to be started,
and so the BCM (F) will power ON (B)!
Y) As soon as the ID-code ecu (B) wakes up, it tells the Smart ECU (E) to verify it’s self!
W) The ID-code ecu (B) wil also tell the Steering lock ecu (A) to verify itself!
X)The ID-code ecu will also tell the Engine ecu (C) to verify itself!
If everything validates, the Engine ECU will get a Start-Engine Signal!
…remember the algorithm could vary by vehicle make🤐!
…remember the algorithm could vary by vehicle make🤐!
…remember the algorithm could vary by vehicle make🤐!
…remember the algorithm could vary by vehicle make🤐!
…remember the algorithm could vary by vehicle make🤐!
Remember😉, You may clickhere if you want buy us a drink🍻! Jazak’Allah🤞
S)Let’s start the rolling code (xyz) nonsense🤪!
Using WhatsApp, for example🤔!As You would register a WhatsApp number, a 6-digit code is sent to that number👌!
WhatsApp expects You to write the same number so as to verify ‘wah gwaan‘🥂!
This WhatsApp code is valid only ONCE🤐!
Coming back to👇 our nonsense😎!
The👇 security code in (E or 2E) must match with what is in (F or 2F)🚧!
If I canwith ‘ujanja’ get the security code in (E or 2E)😎 I just make another key, then…🤷♀️!Sasa, the rolling code (or hopping code) ‘ujinga’ is where the key (E or 2E) and car’s respective ECU (Electronic Control Module),
could be ECU’s (A or B or C or D whatever), they agree to agree on using a unique, one-time (WhatsApp) code 👌!
Depending on the vehicle’s algorithm, This rolling (changing) code could be changing on every after Engine is allowed to start🤷♀️!
Like every after a successful 👇Zungusha😜!
…this code could be changing on each transmission, as in, changing with every pressing of the key,
to prevent a ‘mjanja’ from recording and replaying the signal to unlock the vehicle🤪!
So, if a code is intercepted, it’s useless🧻🚽!
The stolen code is useless because the car is already expecting the next code in the sequence🤷♂️!
Like👇, if for now, the key and the vehicle aggress on code Y (4487931)!
The next expected code is X (8007764)🤪!
This rolling code nonsense could be between the key(E or 2E) and a respective ECU (A, or B, C, D)
OR
This👇 rolling code nonsense could further to be between certain ECU‘s (D & E)👇!
Like👇
(A and D) have some rolling code algorithm between them, to verify the key🔑to do whatever nonsense in the vehicle without starting the engine👌!
Further, after (A & D) agreeing,
(D & E) also have some rolling code ‘ujinga’ between them🤷♀️ to allow the engine start🍻!
Just like with WhatsApp, some nonsense could happen that the code verification algorithm becomes stupid, out of sync that it requires a specific procedure to return to the normal code verification🧘♂️!
So, in specific vehicles, if a key or ECU is out of sync, it usually requires a specific procedure (such as turning the ignition on/off several times) to re-synchronize with the ECU🥂!
These (S,O,Z) are the same, but just look similar😉! If truck (Z) has a problem🩺,
You could ‘Chaga‘ 🤐 ‘Kikuyu‘ a spare part off, from (O and or S) can 🩺repair (S)🤷♀️!
Spray Truck (S) with ‘Baganda‘ witchcraft water😲!
Every part on truck (S) sprayed with ‘Baganda‘😳!
The ‘Baganda‘ witchcraft water😲
is some unique, specific liquid 💻data🤐!
If You suspect a part was stolen from vehicle (S), yet this vehicle (S) had already been sprayed with the witchcraft water🤔,
use a certain tool, scan that suspected part🤷♀️!But the vehicle with a stolen part will still move🤷♀️!
We’re continuing to renovate this page, If You found it here,
kindly check back within 43200 seconds, You may, will find some new nonsense🤪!
Insha’Allah✌!
Remember😉, You may clickhere if you want buy us a drink🍻! Jazak’Allah🤞
Whatever nonsense is shown in this video is more nonsense if You don’t first go through all the rubbish we earlier discussed on how these immobilizer systems work, where which why when what components involved, seen😉?
Kwanza moja kwa moja, ukumbuke how immobilizer systems work,
what components involved,
why what and how to supercalifragilisticexpialidocious do if lost or spare keys🤷♂️!
HAPA UJANJA tu😁🤣😁😜
Kwanzia hizo TRANSPONDER KEYS funguo za chuma za kawaida, mpaka hizo SMART KEY, tunaanza na mifumo, jinsi zinafanya kazi, ili uweze kuelewa kwanini, mashine fulani ndo zinazo kamilisha kazi fulani!
TRANSPONDER KEYS
Kwa kutaka kuzuia wizi, walifanya uchawi kwenye gari kwamba isipo kuwa funguo maalum ya hiyo gari maalum, hiyo gari haiwezi kuendeshwa. Kwenye funguo waliweka kadude fulani kanaitwaTransponder Sasa haka kadude namna tulivyoneshana kwa video, kuna neno siri ama PIN a.k.a password ambao lazima ifanane na ilyo kwenye gari. Isipo fanana gari haitawaka!
So, kwa hii video tulijaribu kuoneshana namna hiizi blaa blaa zote zinafanya kazi
Ina maana hiyo funguo maalum ya kuendesha gari maalum ikipotea lazima ufanye uchawi wa ziada kuirudisha namna tuliojaribu kumbushana katika hii video!
ONYO🚨: Mara kwa mara kuna ujanja unaotokea wa nmna ya kufanya key programming, so hii ni just basics of what could be done in case🤷♂️!
Na hata kama hizo transponder zinafanana kwa muonekano, lakini ziko tofauti kaaabisa! Yaani ziko na namba mf., ID46, 4C, TPX7, nk kulingana aina ya gari!
Ina maana ukileta tranponder ya Toyota Corona kuiweka kwa system ya Toyota Carina, hazitafanya🤷🏼♂️ namna tulioneshana kwenye hii video
Sasa kuna system zenye funguo za transpoder kama tumeone, na kuna smart key systems
SMART KEY SYSTEMS
Sasa, hizo smart zinabaki mfukoni kwamba unaeza kufungua mlango na kuendesha gari bila kuigusa hiyo funguo!
KEYLESS ama SAMRT KEY SYSTEM ina upande miwili, upande wa kuasha gari KEYLESS IGINITON SYSTEM, na upande mwingine wa tuseme kifahari hiiivi, KEYLESS ENTRY SYSTEM ile yakufungua mlango, booti, kutembeza viti, nk!
So namna hii video inakuonesha tutangaliza hizo part tofauti tofauti
KEYLESS IGINTION SYSTEM
Sasa tukianza na KEYLESS IGINTION SYSTEM tutaona namna SMART ECU ikishirikiana na ID CODE BOX, BODY ECU, ENGINE ECU, nk, kama TRANSMISION ECU, STEERING LOCK ECU, nk, ili kuwezesha engine kuaka kwa kutambua kama ndo funguo sahihi ilioko mfukoni ya huyo mtu anaejaribu kuendesha hiyo gari! Hii video ni ndeeefu pamoja na maneno mengi ya kurudia rudia ili uweze kuipata vizuri!
KEYLESS ENTRY SYSTEM
Sasa hapa tunajaribu kuoneshana KEYLESS ENTRY SYSTEM, utaona kwamba hapa ni SMART ECU na BODY ECU na componet zingine zinazohusiana…pamoja na uchawi gani unaweza kufanya kukitokea blaa blaa yeyote kwenye hii system!
Unajua kuna mashine nyigi na ni rahisi kutengeneza au kuongeza funguo ya smart. LAKINI ukikosea kidogo tu, ni hatari na kwamba system nzima utakuwa umehiharibu🤷♂️!
So be careful when diagnosising for problems or when using diagnosis machine as we tried ellaborate in this video
Kufanya IMMO OFF ni ule uchawi kufanya gari iwake na funguo yeyote kama kawaida au kama mifumo ya zamani. IMMOBILIZER DECODING🙄, ni kama ufunguo umepotea, unafuta kumbu kumbu ya ufunguo, kuirudisha kuwa bikira (virgin) kama mwanamke akiwa ajaolewa, namna gari inavyokuwa kiwandani!
Namna tulioneshana kwenye hii video, kufanya IMMO OFF either unaweka emulator au ku edit data za IC ama chip ya funguo!
ONYO 📌
kama unajelewa niaje, mambo ya EEPROM data blaa blaa, tumekuwekea hapa data za IMMO OFF na DUMPS (virgin Data), otherwise endelea kujifunza niaje!
Na, sometimes, ukiwa na secret codes fulani, ziwe SMART KEYS au TRANSPONDER KEYS, kwa kutumia ata diagnosis machine ya kawaida, unaweza kufanya ujanja fulani! So, tumekuwekea program kuwezesha kupata hizo secret codes fulani!
Tena tulijua kwamba funguo ikipotea unaweza kupata code/passsword kutoka hiyo EEPROM ili ukatumbukize kwenye funguo ingine ndo gari iwake, au pia kama control boxi imekufa unatoa haka EEPROM ukaweke kwa hiyo control boxi ingine👌!
Sasa uchawi ni kusipojua EEPROM ya funguo iko wapi na ni gani katika hizo nyingi zilizopo kwenye circuit board, maana iwe control boxi au immo box kuna EEPROM nyingi nyingi.
So hii App📲 ya kwenye simu au na kompyuta💻, inakusadia kujua EEPROM ipi au Transpoder ipi inaendana hiyo gari🤔!
Sasa tayari umejua ni EEPROM gani ya funguo🙄, je unajua nini chakufanya uweze kuisoma, kubadili ili ufanye IMMO OFF au DECODE ili kupata code/password ya funguo kutoka hiyo EEPROM?So ukibonyeza HAPA utona tulikumbushana au kuoneshana kuhusu data inakuanga humu, inakaje, inasomwa au kubadilishwa namna gani🤷🏼♂️ hizo blaa blaa binary, HEX, address, nk, mara Flash Memory, EEPROM memory, nk!
Hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk!
Yaani unapata almost kila umbea mhimu👌! Ni PDF📲 popote💻 kinafunguka!
Tuseme umepata idea ya namna funguo zinafanya👌!
Na funguo ikipotea umejua kwamba unaweza kutumia data ya EEPROM kuweza kutenegeza ufunguo mwingine AU ukafanya IMMO OFF ukatoa tu immo system ili gari ikubali funguo yeyote.
Sasa changamoto ni kujua uchawi gani wa kufanya immo off au ku program funguo ingine kwa kutumia data ya EEPROM ndo maana ukitaka niaje😢!
Tumekusanya kila aina ya programu, yaani software kufanya ujanja wowote kwenye kila gari🤔, bonyeza tu HAPA HAPA HAPA🤷♂️!
Huu ni mifano namna hizi softyware ziliopo! Ni nyiiingi👌!
Zamani, kwenye mfumo wa mafuta ya gari kulikuwanga pipe ya kurudisha mafuta kwenye tenki yakibaki, sasa kwa hizi gari mpya kuna sensor yakuchunguza kiasi cha mafuta yanaohitajika NA ndo hayo mafuta yatakaporuhusiwa kutoka!
Ndo sababu ingine kwanini unaona ka pipe moja kwenye tenki! Sasa, tulijaribu kumbushana uchawi kwenye FUEL PRESSURE REGULATOR👨🔧
#FUELPRESSUREREGULATOR #AUTOMOTIVEFUELSYSTEM #5021tips