Umbea kuhusu DPF (Diesel Particulate Filter)๐Ÿš’

Jinsi unafahamu engine za diesel zinatoanga moshi kali wenye vichembe (particles)๐Ÿš†, sasa kwa kutaka kuzuia hizi particles zisitoke nje ya gari kuharibu mazingira, kuna kidude fulani kinawekwa kwenye exhaust pipe ya gari ya diesel ili kushika hizi particles!

Baada ya hizi particles kushikwa zinachoma mpaka kupotea namna tulijabu๐Ÿ‘‡kumbushana!

#DPF #ADblue #5021tips

NAMNA YA KUONDOA HII SYSTEM KWENYE GARI