IMMO OFF FILES

Kwanza utapewa taarifa ya kuhusu EEPROM gani ya kuandika hiyo data ya immo off!

Ujanja wa EEPROM work ni muhimu, ukitaka kumbuka niaje, bonyeza HAPA 


Ukishaitambua hiyo EEPROM, ni bora na salama, ukisoma na kuhifadhi SAVE hiyo data iliopo kwenye EEPROM bila kugusa kubadili chechote!

Ukimaliza ku load file, hamna aja ya kugusa, kubadili, kufuta chechote! Moja kwa moja WRITE andika hiyo file kwenye hiyo EEPROM!
LAKINI, kwa ujanja zaidi, bora ulinganishe compare  hizo file zote mbili, yenye immo ON, na yenye immo OFF, ili ujifunze, utambue wapi pamebadili kufanya OFF, ili nawe ujifunze ufanye mwenyewe!

Tazama hii video👇 uone niaje kama vitakusaidia, kisha ushuke chini uweze ku download👇!

DOWNLOAD👇

👉   BONYEZA  HAPA  👈

👆👆👆👆👆👆

 

 


HYUNDAI & KIA (immobilizer coding)

Kweye hii App, unajaza tu nambari ya VIN au Chassis Number ya hiyo gari, hapo hapo bila stress huu uchawi unakuwezesha kupata PIN au code ya immobilizer, ile nambari au msimbo wa kuchonga ufunguo.
Ukitaka unaeza kutazama hii vidoe👇👇

👇👇Otherwise DOWNLOAD ata 📲kwenye simu! 👇👇👇

  👆👆👆                   👆👆👆

KEY PROGRAMMING SOFTWAREz

Kama unavyojua au umefahamishwa, katika mfululizo wetu wa KEY PROGRAMMING, kwanza kabisa, kwa kweli, ikiwa hujui au huna msingi kuhusu mambo ya KEY PROGRAMMING, hii haitakuwa na maana kwako! Ikiwa unataka, unaweza kubofya HAPA au kwenye picha hapa chini!
Ujanja ni bure. HAPA UJANJA tu!



Kama ilivyoelezwa na kuonyeshwa katika video hii hapa chini, tafuta njia za kusoma data kutoka kwa EEPROM sahihi, iliopo ECU au Immo boxi, au zote mbili kulingana, maana kuna gari ambazo lazima ushugulikie zote mbili!

Sasa, ku program ufunguo, either kutoka kwa data ya EEPROM uandike ufunguo, au kutumia coding ilio tayari kwenye ufunguo uingize kwenye data ya EEPROM (ikiwa virgined)! Kwenye baadhi ya magari unaweza kuhitaji PIN ya immo kufanya blablaa fulani, yote yanawezekana kwa programu hii!

HAPA UJANJA tu!

BONYEZA HAPA ku DOWNLOAD 

Repairing MERCEDES BENZ Start Error (Vito,ML,Sprinter)

Our teams have dealt with a non-start situation with on many Mercedes commercial vehicles.
The main cause of the START ERROR being displayed on the dash is due to corruption of data in 2 of the vehicles main units,
one is the Temic immobiliser box also known as the WSP and the Main Engine control unit.

We recommend trying a few things before going deeep!

Test vehicle’s battery to be in a good state
Try a different key
Try the original key on its own with no other keys surrounding the ignition
If you have done this and you still have the START ERROR message there could be a number of issues,
we recommend having a deep diagnosis to pinpoint where the fault lies.

Common Faults leading to START ERROR on with certain Mercedes Benz:

Jump starting
Battery power not sufficient
The transponder in your key is faulty or missing
Antena coil on ignition faulty
ECU fault
Fuel pump fault
We also recommend testing for power on your WSP plug.
Pin 3 is continuous +12V direct from the battery, Red/Yellow Wire
Pin 7 is ignition +12V when your key is in position 1 and 2, Black /Yellow Wire
If there is no power on either you will get START ERROR on the dash.

If all seems correct, but still sh*t, download thee and so as below in this video

THEN YOU CLICK TO DOWNLOAD PROGRAM

KEY PROGRAMMING TOOLS

This includes downloads of useful softwares and gateways to where which when why what hardware could be useful do key programming!
If you want go get some basics on key programming, bonyeza HAPA!

Sorry, we decided pack the whole everything in this package!

You may click HERE to download


TOYOTA IMMO Immobilizer Virgin Dumps Files

This a collection of Toyota immobilizer virgin files (dumps) for resetting various Toyota cars’ Immobilizer systems.
These are needed in order to make the vehicle accept new or used keys.
These files are in binary (.bin) format and can be read au written kwa serial EEPROM programmer yeyote.
Kusema “virgin”, kama kumfanya mwanamke mwenye watoto, kumrudisha kuwa bikira🤷‍♀️!

Anyway, it means that these files, when programmed (written) into the immobilizer EEPROM chip of the right vehicle, bila kukosea, it will put the immobilizer circuit in auto registration mode!
Sasa, this is when it will register the first “compatible”, yaaani 👉compatible👈 key that’s used, remember, lazima iwe compatible (kuingiliana), making it the master key. After that, similar keys can be added. Tuko pamoja?
These files are to be written in the immobilizer EEPROM chip, located either in the vehicle’s Engine Computer (Engine Control Module) or in the immobilizer ECU module (immobox), depending on the model.
This will reset the Immobilizer, putting the vehicle in key auto-registering mode, so it accepts your current, old or new keys.
If you have forgotten, may be you didn’t know none🤷, You may click HERE for to where we tried to remind each other all about key programming & tools needed!
Password, write the word👇
👉   beermbili   👈

👆👆👆👆

​​​​​​​

——————————————-
You may read instructions 👇 on how why where when to do👇!
——————————————

Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download kwa simu/laptop [1.63 MB]

EEPROM WORK practice

Tulijaribu kuelekezana kuhusu data ya kwenye IC/EEPROM/CHIP, as in, namna ya kusoma, edit, delete, copy, nk hizo EEPROM data! Kama bado hujapitia, na unataka kupata idea ya niaje hizo blaa blaa, then bonyeza hapa👉 www.5021.tips/ujanja/eepromwork 👈

Sasa unaeza kuwa huna mashine yeyote ya hizo EEPROM na kweli unataka kufanya mazoezi🤷‍♂️!  So what we have done, ni kuwekea hapa software inasoma hizo data, pamoja na mfano ya hizo EEPROM data ili ufanye mazoezi ku edit, delete, blaaa blaaa, you know?


SOFTWARE YA KWANZA na maelekezo ya matumizi kwenye hii video kiisha download hapo chini ya hii video


SOFTWARE INGINE na maelekezo ya matumizi kwenye hii video kiisha download hapo chini ya hii video


samples of EEPROM data


Then ukitaka ku compare data, use this tool


KEYPROGRAMMING, REMOTES & SERVICE INDICATORS instructions

Gusa twasuzumye (scanned) iki gitabo kugirango kibe PDF📲, ikora no kuri terefone nto!

HAPA UJANJA tu!
password👉  njagalabili

Igitabo kirakwigisha ubuhanga butandukanye kubyerekeye urufunguzo!

Videwo👇 yometseho irakwereka ibirimo, ukeka ko izagufasha!
Jya munsi👇ya videwo kugirango ukuremo!
password👉  njagalabili

password👉  njagalabili

👇DOWNLOAD👇

👆👆
password👉  njagalabili

IMMOBILISER CODING & DELETING

Hizi software ni zenye uchawi wa kutengeneza funguo mpya wa au kwa, gari iliopoteza funguo wake, au kuongeza funguo zingine for back up moja ikipotea, then na ukitaka kutoa huu usumbufu wa immobiliser ( a.k.a IMMO OFF) ili gari iendeshwe kwa funguo ya kawaida!
Gari zingine utahitaji tu diagnosis mashine ya kawaida, gari zingine mpaka kungoa au kucheza na data za EEPROM namna tuliokumbusha hapa www.5021.tips/ujanja/keyprogramming
Tumeweka tofauti tofauti za hizi software, maana unaeza kuta moja kuna aina ya gari inakosa, na ingine pia! So, zikiwa software tofauti tofauti pamoja, huwezikosa unaotaka🐱‍👤! 
Aiise, kuna thousands of tested & working dumps za almost kila ECU.

Kwa ufupi, hii DVD ina👇,

Immo OFF za kutoa, kuzima, kupotezea immobiliser signal kwenye gari na kwamba gari inaeza kuashwa kwa funguo lolote!

Virgin virgin files za ku restore immobiliser systems to factory settings ili iweze kupokea funguo yeyote utaiingiza mara ya kwanza!

Emulator with ready-to-use files na maelekezo kuhusu nini namna nani😂😅🤣😁 especially wakati unafanya immo off kwenye badhi ya gari!

Key writing kuwezesha kuandika key code kwenye ECU memory.

PIN caliculators ili uweze kubaliwa ku access data ya ECU zikiwa locked!

Pictures and wiring diagrams za almost kila ECU ! Yaaaani, components , memories, plugs, nk!

Ndiyo, kwanza malizana hapo na SUZAN🍻
👇👇

👆👆👆👆


👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇


🔑KEY CODING & DECODING software

Kwanza ukiweka aina ya gari, hii progrogram itakuonesha chip/EEPROM ya ku deal nayo!
Tena, assuming kwamba unajua ujanja wa EEPROM, kusoma, ku save data, nk, ukitaka bonyeza hapa tuliekezana!

Ukiweza kusoma data ya hiyo chip ama EEPROM ya funguo, unaweka tu hiyo data kwa hii program kiisha inafanya uchawi na kurudishiya data wa kuweka kwa hiyo.

Sii unajua ama umesikia blaa blaa kuhusu sijui ‘dampu’ mara ‘original data’ vitu namna hiyo, sasa briefly jua tu kwamba wakati gari inatengenezwa security system inakuwa kama binti bikira ya kwamba funguo yeyote itakapoingizwa mara ya kwanza, ikiwa sahihi, ndo hiyo funguo itaendelea kuasha hiyo gari!

Sasa, uchawi wa hii program ni kwamba ukiipatia data kutoka kwa hiyo EEPROM kwenye gari ya funguo liliyopotea, hii programu inafanya uchawi wa kufanya hii gari ku kubali funguo yeyote utakapoingiza mara ya kwanza, a.k.a key decoding, a.k.a virgizing a.k.a nk😄🤣😂😁😀

PROGRAM iliomo ingine nayo ukiweza kusoma data ya hiyo chip ama EEPROM ya funguo, unaweka tu hiyo data kwa hii program kiisha inafanya uchawi na kurudishiya code ya kuandika kwenye hiyo transponder…ama kama unayo mashine imeonganisha kwa hiyo laptop yako, funguo itatengenezwa moja kwa moja!

DOWNLOAD HERE

Hizi software ni zenye uchawi wa kutengeneza funguo mpya wa au kwa, gari iliopoteza funguo wake, au kuongeza funguo zingine for back up moja ikipotea, then na ukitaka kutoa huu usumbufu wa immobiliser ( a.k.a IMMO OFF) ili gari iendeshwe kwa funguo ya kawaida!
Gari zingine utahitaji tu diagnosis mashine ya kawaida, gari zingine mpaka kungoa au kucheza na data za EEPROM namna tuliokumbusha hapa www.5021.tips/ujanja/keyprogramming
Tumeweka tofauti tofauti za hizi software, maana unaeza kuta moja kuna aina ya gari inakosa, na ingine pia! So, zikiwa software tofauti tofauti pamoja, huwezikosa unaotaka👌!  Aiise, kuna thousands of tested & working dumps za almost kila ECU.

Kwa ufupi, hii PACK ina👇,

Immo OFF za kutoa, kuzima, kupotezea immobiliser signal kwenye gari na kwamba gari inaeza kuashwa kwa funguo lolote!

Virgin virgin files za ku restore immobiliser systems to factory settings ili iweze kupokea funguo yeyote utaiingiza mara ya kwanza!

Emulator with ready-to-use files na maelekezo kuhusu nini namna nani😂😅🤣😁 especially wakati unafanya immo off kwenye badhi ya gari!

Key writing kuwezesha kuandika key code kwenye ECU memory.

PIN caliculators ili uweze kubaliwa ku access data ya ECU zikiwa locked!

Pictures and wiring diagrams za almost kila ECU ! Yaaaani, components , memories, plugs, nk!

Ndiyo, kwanza malizana hapo na SUZAN🍻

Hizo DPF/EGR/ADBLUE/FGK/LAMBDA bonyeza hapa hapa ujue namna ya matumizi🤷‍♂️

KEY/ECU CODES (Ford, Mazda, Landrover, Jaguar, etc)

If you know what’s done, save time BONYEZA HAPA uweze ku calculate hiyo code🤷‍♂️, sii unajua niaje🙄😎!

otherwise soma haya maelekezo👇

👇

Ukitaka kufanya key programming ama ECU coding🙄, kuna badhi kubwa ya mashine zenye uwezo👌! Sasa sijui uko na mashine ipi, lakini wewe tafuta uchawi wako wote uweze kuingia kwenye menu ya programming/coding kwa PCM (Powertrain Control Module) au/na zile IPC ECUs kama ya PATS, BODY ECU, nk🤷🏼‍♂️!
Mashine yenyewe itakutolea zile details za OUTCODE namna hii👇like ukiwa unafanya Ford, kwamfano tu😎!Sasa, baada ya kupata hizi details lazima umutumie sijui wakala wa hizo gari au sijui mtaalamu fulani👩🏼‍🔧akupe code fulani ndo uweze ku programm hiyo funguo ama ECU! Sasa ujanja tunapatiana hapa ni namna ya kupata what we call INCODE kwa kuingiza hiyo OUTCODE hapo kwenye picha ya juu👆 (ndani ya boxi rangi nyekundu), kwasababu ukiendelea utakuta sehemu inakuitisha INCODE kama kwenye hii picha ya chini👇Kupata hiyo INCODE, utabonyeza👉 hapa hapa 👈na ukifika uko kuna maelekezo ya ziada ya ku calculate!

Ikifunguka itakuwa namna hiiKupata hiyo INCODE, utabonyeza👉 hapa hapa 👈na ukifika uko kuna maelekezo ya ziada ya ku calculate!

Hebu fanya mazoezi kwa hiizi OUTCODE hapa chini uone niaje🤔!

Ford fiesta 1.4 TDCI
Outcode:0000 EF440F 0000
Error Control:43168
OUTCODE = 4CBB
———————————-
Mazda 3
Outcode: 0040 – 058215 – 000000
INCODE = 9175
———————————
OUT CODE: 0044-151E3F D60E19
ERRORCONTROL: 4X420
Hapa lazima ufanye mara mbili
outcode single: 151E3F = 154F
outcome dual: D60E19 = E768
your incode is: 154FE768
———————————–
Jaguar XType 2003
key programming outcode 05975543
income is 9FAD

Kupata hiyo INCODE, utabonyeza👉 hapa hapa 👈na ukifika uko kuna maelekezo ya ziada ya ku calculate!

Kitabu kufundisha KEY PROGRAMMING

Jinsi hii video inakuonesha, hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk! Yaani unapata almost kila umbea mhimu👌!

HAPA KUNA MASOMO kuhusu immobiliser systems, bonyeza tu👨🏼‍🎓!
Bonyeza👆au kwenye picha👇


ONYO🚨>>

Technologia inabadilika kila sekunde, so ukiona mashine fulani ndo ilitumika, usikulupuke kununua hiyo mashine unaezakuta kuna mashine ingine mpya/bora!
Hiki kitabu kikusadie tu kutoa mwanga kwa macho yako, nenda ufanye research nyingi zingine bora🙏🏼!


DOWNLOAD HAPA 👇

👆👆👆👆👆👆

password aandika neno KitabuFongu0



EEPROM work (kusoma, kubadili, kuandika data)

Kuna kazi nyingi unaweza kufanya kwa kujua kuchezea data inakuanga humu kwenye chip au EEPROM (Electronically Erasable Programmable Read Only Memory)!
Yaaani hapa tunakumbushana kuhusu uchawi wa, kusoma, kuhifadhi, kubadili, kuandika, nk, ya kwamba ata ukitajiwa tu adress unajua niaje!
Kwenye hii picha ya chini👇unaona blaa blaa ya namna data inakuanga ndani ya hizo EEPROM🤔?Sasa hizo blaa blaa binary, HEX, address, nk, vyote tumeoneshana kila, kwenye hii video👇!
Video hii ni ndefu na kuna maneno mengi🙄  na ukitaka kufanya practical ujifunze kwa vitendo tumeweka hapa bonyeza HAPA unaeza kuwa huna mashine yeyote ya hizo EEPROM na kweli unataka kufanya mazoezi🤷‍♂️!
What we have done, ni kuwekea software inasoma hizo data, pamoja na mfano ya hizo EEPROM data ili ufanye mazoezi ku edit, delete, blaa blaaa, you know?

Madhara ya in-Circuit EEPROM programming

kwanini 0123456789ABCDEF

DATA ADDRESS reminder

CHECKSUM   ERRORS



IMMO EEPROM/Transponder details

Tayari ulijua kwamba kwenye immobiliser system ya gari, code/password moja inakuwa kwenye chip/EEPROM fulani ndani ya immo box ama Control box, na upande wa funguo hii code/password inawekwa kwenye transponder🙄!
(Kama hukupitia hapa kuelewa niaje, tafadhali bonyeza hapa ujue niaje vinginevyo hautona maana ya huu ujanja)

Tena tulijua kwamba funguo ikipotea unaweza kupata code/passsword kutoka hiyo EEPROM ili ukatumbukize kwenye funguo ingine ndo gari iwake, au pia kama control boxi imekufa unatoa haka EEPROM ukaweke kwa hiyo control boxi ingine👌! Sasa uchawi ni kusipojua EEPROM ipi ya funguo maana iwe control boxi au immo box kuna EEPROM nyingi nyingi. So hii software inakusadia kujua EEPROM ipi au Transpoder ipi inaendana hiyo gari🤔 namna hii video inaonesha kiisha ushuke chini ku download!

Kuna two 2options,  
Either download for use on phone, or for laptop, or both!

 


Ukitaka, BONYEZA HAPA, upate ile App📲 ya kwenye simu nama hii video inaonesha!

CLICK TO DOWNLOAD THE PHONE APPLICATION

This is if you want use on computer💻laptop, otherwise scroll back👆up to use on📲phone!

CLICK👇TO DOWNLOAD FOR LAPTOP /COMPUTER 


Misingi ya CAR KEY PROGRAMMING



Kwanza moja kwa moja, ukumbuke how immobilizer systems work, what components involved, why and how to supercalifragilisticexpialidocious if lost or spare keys🤷‍♂️



Kwanzia hizo TRANSPONDER KEYS funguo za chuma za kawaida, mpaka hizo SMART KEY, tunaanza na mifumo, jinsi zinafanya kazi, ili uweze kuelewa kwanini, mashine fulani ndo zinazo kamilisha kazi fulani!


TRANSPONDER KEYS

Kwa kutaka kuzuia wizi, walifanya uchawi kwenye gari kwamba isipo kuwa funguo maalum ya hiyo gari maalum, hiyo gari haiwezi kuendeshwa. Kwenye funguo waliweka kadude fulani kanaitwa Transponder
Sasa haka kadude namna tulivyoneshana kwa video, kuna neno siri ama PIN a.k.a password ambao lazima ifanane na ilyo kwenye gari. Isipo fanana gari haitawaka!

So, kwa hii video tulijaribu kuoneshana namna hiizi blaa blaa zote zinafanya kazi

Ina maana hiyo funguo maalum ya kuendesha gari maalum ikipotea lazima ufanye uchawi wa ziada kuirudisha namna tuliojaribu kumbushana katika hii video!

ONYO🚨: Mara kwa mara kuna ujanja unaotokea wa nmna ya kufanya key programming, so hii ni just basics of what could be done in case🤷‍♂️!



TRANSPONDER DETAILS

Na hata kama hizo transponder zinafanana kwa muonekano, lakini ziko tofauti kaaabisa! Yaani ziko na namba mf., ID46, 4C, TPX7, nk kulingana aina ya gari! Ina maana ukileta tranponder ya Toyota Corona kuiweka kwa system ya Toyota Carina, hazitafanya🤷🏼‍♂️ namna tulioneshana kwenye hii video



Sasa kuna system zenye funguo za transpoder kama tumeone, na kuna smart key systems


SMART KEY SYSTEMS

Sasa, hizo smart zinabaki mfukoni kwamba unaeza kufungua mlango na kuendesha gari bila kuigusa hiyo funguo!

KEYLESS ama SAMRT KEY SYSTEM ina upande miwili, upande wa kuasha gari KEYLESS IGINITON SYSTEM, na upande mwingine wa tuseme kifahari hiiivi, KEYLESS ENTRY SYSTEM ile yakufungua mlango, booti, kutembeza viti, nk!

So namna hii video inakuonesha tutangaliza hizo part tofauti tofauti


KEYLESS IGINTION SYSTEM

Sasa tukianza na KEYLESS IGINTION SYSTEM tutaona namna SMART ECU ikishirikiana na ID CODE BOX, BODY ECU, ENGINE ECU, nk, kama TRANSMISION ECU, STEERING LOCK ECU, nk, ili kuwezesha engine kuaka kwa kutambua kama ndo funguo sahihi ilioko mfukoni ya huyo mtu anaejaribu kuendesha hiyo gari!
Hii video ni ndeeefu pamoja na maneno mengi ya kurudia rudia ili uweze kuipata vizuri!


KEYLESS ENTRY SYSTEM

Sasa hapa tunajaribu kuoneshana KEYLESS ENTRY SYSTEM, utaona kwamba hapa ni SMART ECU na BODY ECU na componet zingine zinazohusiana…pamoja na uchawi gani unaweza kufanya kukitokea blaa blaa yeyote kwenye hii system!


Unajua kuna mashine nyigi na ni rahisi kutengeneza au kuongeza funguo ya smart. LAKINI ukikosea kidogo tu, ni hatari na kwamba system nzima utakuwa umehiharibu🤷‍♂️!

So be careful when diagnosising for problems or when using diagnosis machine as we tried ellaborate in this video



IMMO OFF & IMMOBILIZER DECODING

Kufanya IMMO OFF ni ule uchawi kufanya gari iwake na funguo yeyote kama kawaida au kama mifumo ya zamani.  IMMOBILIZER DECODING🙄, ni kama ufunguo umepotea, unafuta kumbu kumbu ya ufunguo, kuirudisha kuwa bikira (virgin) kama mwanamke akiwa ajaolewa, namna gari inavyokuwa kiwandani!

Namna tulioneshana kwenye hii video, kufanya IMMO OFF either unaweka emulator au ku edit data za IC ama chip ya funguo!

ONYO 📌

kama unajelewa niaje, mambo ya EEPROM data blaa blaa, tumekuwekea hapa data za IMMO OFF na DUMPS (virgin Data), otherwise endelea kujifunza niaje! 

Data za IMMO OFF 
BONYEZA HAPA



IMMOBILIZER SECRET PIN CODES

Na, sometimes, ukiwa na secret codes fulani, ziwe SMART KEYS au TRANSPONDER KEYS, kwa kutumia ata diagnosis machine ya kawaida, unaweza kufanya ujanja fulani! 
So, tumekuwekea program kuwezesha kupata hizo secret codes fulani!

BONYEZA HAPA 



TRANSPONDER & EEPROM details!


Tena tulijua kwamba funguo ikipotea unaweza kupata code/passsword kutoka hiyo EEPROM ili ukatumbukize kwenye funguo ingine ndo gari iwake, au pia kama control boxi imekufa unatoa haka EEPROM ukaweke kwa hiyo control boxi ingine👌!
Sasa uchawi ni kusipojua EEPROM ya funguo iko wapi na ni gani katika hizo nyingi zilizopo kwenye circuit board, maana iwe control boxi au immo box kuna EEPROM nyingi nyingi.

So hii App📲 ya kwenye simu au na kompyuta💻, inakusadia kujua EEPROM ipi au Transpoder ipi inaendana hiyo gari🤔!


BONYEZA  HAPA



EEPROM WORK

Sasa tayari umejua ni EEPROM gani ya funguo🙄, je unajua nini chakufanya uweze kuisoma, kubadili ili ufanye IMMO OFF au DECODE ili kupata code/password ya funguo kutoka hiyo EEPROM?So ukibonyeza HAPA utona tulikumbushana au kuoneshana kuhusu data inakuanga humu, inakaje, inasomwa au kubadilishwa namna gani🤷🏼‍♂️ hizo blaa blaa binary, HEX, address, nk, mara Flash Memory, EEPROM memory, nk!

BONYEZA HAPA



KEY PROGRAMMING BOOK

Hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk!
Yaani unapata almost kila umbea mhimu👌!
Ni PDF📲 popote💻 kinafunguka!

BONYEZA HAPA 



KEY PROGRAMMING SOFTWARES

Tuseme umepata idea ya namna funguo zinafanya👌!
Na funguo ikipotea umejua kwamba unaweza kutumia data ya EEPROM kuweza kutenegeza ufunguo mwingine AU ukafanya IMMO OFF ukatoa tu immo system ili gari ikubali funguo yeyote.
Sasa changamoto ni kujua uchawi gani wa kufanya immo off au ku program funguo ingine kwa kutumia data ya EEPROM ndo maana ukitaka niaje😢!
Tumekusanya kila aina ya programu, yaani software kufanya ujanja wowote kwenye kila gari🤔, bonyeza tu HAPA HAPA HAPA🤷‍♂️!
Huu ni mifano namna hizi softyware ziliopo! Ni nyiiingi👌!


BONYEZA HAPA TO DOWNLOAD THIS FULL PACKAGE OF DVD


na TENA na tena, je🤔

 

How When Where to get NISSAN KEY PROGRAMMING CODES (DiY)

NATS, kwa urefu ni, Nissan Anti-Theft System,
ni kuhusu ule uchawi uliko kwenye gari za NISSAN kwamba usipotumia funguo🔑 sahihi, gari haiwezi kuwaka👌!
Sawa, funguo inaeza kuwa sahihi lakini ukibadilisha tuseme computer ya engine (ECU) au computer ya body (BCM) au anything could have happened kwamba lazima ukutaanishe (initialize ama adapt) vifaa vyote kwenye hii NATS🤔!

Sasa baada ya, au ukimaliza kukumbuka au kujua namna na nini chakufanya kwa hizi blaa blaa za NATS, tumekuwekea software hapo chini ya kufanya uchawi wa NATS aina zoooote!
LAKINI, kama unajiamini, nenda chini ya hii page uweze ku download moja kwa moja!

Sasa wakati unafanya initialization ukiwa na mashine yeyote ya diagnosis👨‍🔧, kutafika wakati unahitaji neno siri (password) fulani ili uweze kukamilisha.
Uchawi zaidi ni kwamba hizi unapaswa kuzipata sehemu maalum kutoka kwa watu fulani🙄!

Sasa hapa tunapeana ujanja wa namna kupata hizo passwords (NATS code)!
Sasa, hii software itakusaidia kupata hizo password za NISSAN namna hii video inaonesha!

DOWNLOAD 👇 APPLICATION ata kwa simu📲

👆👆👆👆👆👆👆👆

Endealea kupata umbea zaidi kuhusu NATS pamoja na ninchakufanya

uchawi wa kutibu DPF/ADBLUE/IMMO/EGR

Assuming kwamba unajua ujanja wa EEPROM, kusoma, ku save data, nk, ukitaka bonyeza hapa https://youtu.be/TGbrQwNzlDY tuliekezana! Anyway, baada ya kutambua na kusoma data kutoka hiyo EEPROM ya funguo ama DPF ama whatever, hiyo data unaiingiza tu kwa hii program na ndani ya sekunde 0 sifuri, program inafanya uchawi kisha kurudishia data utakapoingiza /kurudisha/kunadika kwenye hiyo EEPROM namna hii video inakuonesha!

Na hii pia maana kuna zingine ukizikosa unazikuta huumu👇

Hizo za funguo bonyeza hapa hapa ujue namna ya matumizi🤷‍♂️

 

Where How to calculate Immobilizer Key codes

Ata hizi diagnosis mashine za kawaida zina uwezo kukamilisha kufanya kazi fulani ukiwa na SECRET CODES fulani!
Infact ata ikiwa kwenye zile mashine maalum za key programming, najua mara nyingi una, uta au umekutana sehemu ya kuhitaji SECRET CODES fulani wakati unajaribu kafanya ECU au ufunguo (ECU au ama Key Programming) kwenye gari au pikipiki, alafu unakwama kwasababu mashine inakuitisha PIN fulani!
HAPA UJANJA tu!

Kwanza kabisa, kwa ubora zaidi, tunadhania umejifunza au umekumbuka  yafuatayo!
👇

Namna, jinsi au ufanyaji kazi  IMMOBILISER SYSTEM wa magari!
Kama bado Bonyeza HAPA!


Tena, hiki kitabu nacho kinakupa mwongozo fulani au mwanga.
Ni PDF unaweza kukisomea kwenye simu📲 yako au computer!
bonyeza HAPA!


Kazi zingine utahitaji ku deal na blaa blaa ya FLASH au EEPROM data kuweza kupakuwa hiyo PIN utahitaji!  Ukitaka kupita kuhusu ujanja wa EEPROM works,
bonyeza HAPA!


Na tena ukitaka kujua hiyo chip au EEPROM ya kusoma data iko wapi!
Kuweka hii program ata kwenye simu au computer, bonyeza HAPA!


Au ukitaka kujua mashine yipi inaoweza kufanya kipi kwa kwenye gari fulani, unabonyeza HAPA!


Sasa, najua umekutana wakati unajaribu kafanya ECU au ufunguo (ECU au ama Key Programming) kwenye gari au pikipiki, unakwama kwasababu mashine inakuitisha PIN fulani!

Mashine inaeza kuwa hizi diagnosis za kawiada au ata mashine zenyewe za kufanya key programming nazo (zingine au nyingi nyigi) zinaulizanga PIN!

Sasa, tumekosanya uchawi wa namna ya kupata hizi PIN kwa kila aina ya gari!

Kama hutaki kuendelea kusoma hizi blaa blaa, shuka chini ya hii page uweze ku download ata kwenye simu!

Tumeweka au kuoneshana namna ya kufanya kwa kila! Unaeza kuta zingine unaingiza tu Chasis number ya hiyo gari na ukapata PIN ya hiyo funguo, zingine unaingiza tu PartNumber ya kifaa fulani, inaeza kuwa ya ECU au IMMO BOX au INSTRUMENT cluster, au anything!

Mifano tu👇

Kwenye NISSAN fulani inaeza kuta unahitaji hiyo 5 digit code imezungushwa kwa ki red box kwenye label
Inaeza kuwa kwenye Toyota, may be hiyo mashine uliyo nayo haiwezi kufanya uchawi wa PIN automatically, kwamba unahitaji kuingiza hiyo SEED NUMBER uweze ku caliculate hiyo PIN CODE kama hapa chini!Inaeza kuwa umekwama na VW/AUDI kumbe ujanja ni kuifungua na kusoma data kwenye EEPROM fulani kwenye instrument cluster amabapo code imejicha!Unaeza kuta gari zingine, funguo hijapotea, lakini imegoma tu kuasha hiyo gari na inaitisha PIN fulani, kumbe uchawi ni kufunguo tu hiyo ufunguo usome keyTAG na paaaaa….

aode
mitsvazSWA
swamitsu
flashEN
FlashSW
ml
aotadakey
enPROG
swaPROGr
272764590_128787566304534_1345823714250307931_n

👇👇👇

UKITAKA KUPAKUWA, NDO HAPA SASA
kwenye simu📲 au kompyuta💻
👇

👆
password:
Tetogwa walwa ibili2

👆

Translate /Tafsir /Traduire