APP sensor (Accelerator Pedal Position Sensor)

Accelator Position Sensor, au ‘sensa’ ya kanyagio cha kuongeza kasi ya gari, namna jina ilivyo, inapeleka umbea kuhusu kiwango dereva amakanyaga ki kanyagio, kwenda kwenye kompyuta ya gari!

Sasa, kulingana na habari hii, kompyuta itajua niaje kuhusu kiasi cha mafuta cha mafuta uachiliwa kuchomwa, obviously na kiasi gani cha hewa ile throttle iwachilie!
Sensoryenyewe ipo hapo, juu ya kanyagio!


Moduli ya kanyagio inaweza kuundwa kwa uchawi wa, potentiometer au wa Magnetic Hall Effect, kulingana, au namna hii video itakuonesha ndani zaidi!

Namna yeyote, lakini Sensor hii inasajili fasta fasta harakati na msimamo wa kanyagio cha kuongeza kasi.


May be ukitaka ‘kulewa’ zaidi sana kuhusu huo uchawi wa Magnetic Hall Effect, bonyeza tu HAPA au kwenye hii picha chini!

Jinsi umeelewa, au kukumbuka, hii sensor inapeleka umbea kwenye kompyuta ya gari, alafu kompyuta inamuambia Throtle kiasi ya kufunguka, obviously na blaa bla zingine kwenye CAN, kiasi cha mafuta kinachohitajika, kulingana…
Na sababu kwanini zinakuanga sensor mbili ndani ya moja, au?

Sawa, jinsi tumejua kompyuta au ECU inatuma umeme 5V kuzungukia kwenye kila moja ya hizi sensor nani ya APP sensor, na juu ya huo uchawi wa  Hall Effect au Variable Resistance, kulingana kiasi ya mzunguko ata resistance itabadilika!
Sasa, wakati unapima, ukiona waya 6, lazima upate 5V mbili, ground au negative mbili, na siginal ….mbi?

 

MAP sensor

MAP sensor, au, Manifold Absolute Pressure Sensor, inapima kiasi au uzito wa mkusanyiko wa hewa uliopo kwenye ‘intake manifold’!
Mkusanyo wa hewa ukijumulisha na hewa inaotoka njia za mfumo zingine kama, EGR, TURBO, PCV, nk!Manifold ni hicho ki bla blaa kabla hewa kuingia cylinder au baada ya Throttle

Hii sensor inaeza kuwekwa popote, kulingana gari, ili mradi kuna njia yakufikia kupima hiyo hewa!


Ukitaka maelekezo mengine ya ndani ndani, namna inavyofanya kazi wapi vipi, nk, unaeza kutazama hii video


May be ukitaka kuelewa zaidi kuhusu huo uchawi wa Piezo ambao Pressure sensor nyingi zinategemea, bonyeza HAPA kwenye hii link au picha hapa chine LINK


Sensor hiyo mara nyingi inaka namna hii

Jinsi yalivyoelezwa yote kwenye hizo video, sensor hii inaweza kuwa na waya tatu au waya nne.

Mara nyingi reference voltage inakuwaga 5V kutoka kwenye ECU!

Weka igntion-ON, chunguza umeme kwenye hizo waya!

 

TRANSISTORS (class on hold)

Kama tayari ushatoa chupa🍻 zetu bonyeza👉 kuLogin (kuingia)👈 OTHERWISE kutujulisha namna au ngapi au wapi tutatizipata👉 bonyeza hapa hapa👈

CONTROL SYSTEMS (intro)

Siku hizi almost kila kitu kinaundwa kuwa na hii blaa bla ya CONTROL SYSTEMS, mfano, AC za ofisini, nyumbani mataa yanajiwasha yenyewe, gari za siku hizi kila kitu mafundi wanazungumza ‘kontulo’ yaani control (ECU) ama kompyuta ya gari, nk!

Hapa tunaelezana kwa ufupi, maana na jinsi, au namna huu uchawi wa CONTROL SYSTEM unakuwa!

Imagine huu mfumo wa hesabu

X + 5 = Y

(5 haibadiriki, lakini X au na Y inaeza kuwa chechote)!
X ikiwa 2, ina maana Y itakuwa 7
2 + 5 = 7
Ina maana ukitaka mfumo wako uwe tu wenye 7 kama matokeo, lazima X uingize iwe 2, au na vinginevyo! Ukitaka matokeo au Y iwe 9, hapo lazima X iongezeke kuwa 4!

Tayari, hapa 5 ni control!
Huo mfumo 5 (control) kudhibiti matokeo kwenye Y(output) kulingana X (input) itakachokuwa, ni CONTROL SYSTEM wa X + 5 = Y

CONTROL SYSTEM ni mfumo ambao matokeo yanategemea maingizo!Kwa mfano wetu pale juu,
Input  ni X, Control ni 5, alafu Output ni Y!

Alafu hizi CONTROL SYSTEMS zinaundwa kwa aina au namna mbili! Kuna zile ambao hamna aja ya kuthibitisha au ku comfirm matokeo, a.k.a OPEN LOOP CONTROL SYSTEMS, alafu na zile ambao lazima, au ata matokeo yanafanya uchawi ata kwenye mainginzo, ambao ni CLOSED LOOP CONTROL SYSTEM!

Naomba, ili kueleezana viruzi tofauti kati ya hizi aina, kutumisa mfano wa ile AC ya kudhibiti ujoto chumbani au ata ikiwa gari!

OPEN LOOP CONTROL SYSTEM

Imagine, hiyo siginal ya INPUT inatokea kwenye Temperature sensor inaochunguza ujoto chumbani au ata kwenye gari, mfumo ni kwamba hiyo Temperature sensor ikipeleka umbea kwamba kuna ujoto chumbani, hapo AC itaanza, yaani itawaka tu, hata kama hakuna mtu yeyote chumbani! Sasa ndo hizi OPEN LOOP CONTROL SYSTEM!

CLOSED LOOP CONTROL SYSTEM

Sasa hiyo siginal ya INPUT inatokea kwenye Temperature sensor imeruhusu AC kuanza, lakini AC ikiwaka lazima kuna ijulishe au ipeleke umbea kwamba nimewaka! Sasa huko sehemu ndo kuna blaa blla zingine kuchunguza kama kuna watu au la, ikiwa la AC itajizima yenyewe! Huo mzunguko ndo CLOSED LOOP CONTROL SYSTEM!

Kukitokea mfano tatizo, tuseme huku AC inawaka hata bila watu au vinginevyo, ukifanya diagnosis hizo blaa blaa za OPEN LOOP detected!


KEY PROGRAMMING TOOLS

This includes downloads of useful softwares and gateways to where which when why what hardware could be useful do key programming!
If you want go get some basics on key programming, bonyeza HAPA!

Sorry, we decided pack the whole everything in this package!

You may click HERE to download


Advanced Automotive Fault Diagnosis: Automotive Technology: Vehicle Maintenance and Repair

 As you know, diagnostics, or fault finding, is a fundamental part of an automotive technician’s work, and as automotive systems become increasingly complex there is a greater need for better diagnostic skills.

This very Advanced Automotive Fault Diagnosis is a better book to treat automotive diagnostics as a science rather than a check-list procedure.
As breifly shown, each chapter includes basic principles and examples of a vehicle system followed by the appropriate diagnostic techniques, complete with useful diagrams, flow charts, case studies and self-assessment questions.

The book will help You, a newbie, to develop diagnostic skills and help experienced technicians improve even further.
This new edition is fully updated to the latest technological developments.

It explains the fundamentals of vehicle systems and components, and it examines diagnostic principles and the latest techniques employed in effective vehicle maintenance and repair.

Diagnostics, or faultfinding, is an essential part of an automotive technician’s work, and as automotive systems become increasingly complex there is a greater need for better diagnostic skills.

JUST CLICK TO DOWNLOAD THAT BOOK
👇

👆👆👆👆
👇


OLDER VERSION OF THIS BOOK HERE
👇👇
Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download kwa simu/laptop [19.60 MB]


AUTO DIAGNOSIS special PROCEDURES & SOFTWARES

Unaeza kuwa una hiyo diagnosis mashine, but kunachangamoto unapata🤔!
May be matumizi ya namna kufanya utundu fulani wa kitaalamu, au  inaeza kuwa mashine ina tatizo imekushinda kurekebisha, au, meeeeeen, could be any problem🤷‍♂️!
So tunaweka hapa kila taka taka tunakutanayo zinasumbua watumizi mbali mbali🙄!

Tunawekanga namna ya kupata software za mashine, au ukitaka ku update au downdate au kuharibu mashine tunakuonesha unafanyaje🤷‍♂️!
Ukitaka password za ku login mtandaoni (cloud diagnosis) zote tunawezasaidiana👌!




GROUND, NEUTRAL, EARTH, connections explained

Hata kama EARTH na GROUND ni kama kitu kimoja, lakini ni tofauti!
Kwa kingereza ya Merikani wanasema GROUND, alafu kwa Kingereza ya Ulaya(Europe) ni EARTH, so sometimes maana inakuwa confused!
So is why we tried to explain the difference in this video


Bosch Automotive Electrics and Automotive Electronics(PDF)

Of late, the development of the motor vehicle has been marked by the introduction of electronics.
At first, electronic systems were used to control the engine (electronic fuel-injection systems), then electronic components entered the domain of driving safety (e.g. antilock brake system, ABS).

More recently, completely new fields of application have emerged in the areas of driving assistance, infotainment and communication as a result of continuous advancements in semiconductor technology.

Consequently, the proportion of electrics and electronics in the motor vehicle has continuously increased.

The complexity of the vehicle system is set to increase still further in the near future. To guarantee operational reliability in view of this complexity, new methods of electronics development are called
for.
The objective is to create a standardized architecture for the electrical system/electronics that alsooffers short development times in addition to high reliability for the electronic systems.

This writing or technical manual equips you with a powerful tool of reference for information about the level of today’s technology in the
field of vehicle electrical systems and electronics. Many topics are addressed in detail, while others –particularly the electronic systems – are only presented in overview form.
These topics receive in-depth
coverage in other books in our series.

Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download kwa simu/laptop [7.78 MB]


 

Hybrid cars’ Powertrain Systems explained

Hybrid Vehicle Powertrain Systems combine conventional powertrain components, an internal combustion engine and transmission, with new electric components, electric motor, power electronics and high voltage energy storage, such as a battery.

So this from TOYOTA engineer is to help you know how to perform the necessary maintenance, service, and repair procedures on hybrid cars!


BENZ ACTROSS ELECTRONIC SYSTEMS

Sasa, this is intended for the technical personnel responsible for service and maintenance of MercedesBenz trucks.

The contents in here are split up into:
• function descriptions
• component descriptions
• Description of location of electrical connectors, sockets and
ground points

HAPA UJANJA tu👇
Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download kwa simu/laptop [37.11 MB]

Au, hii PDF ikichelewa kufunguka, bonyeza  hapa GOOGLE DRIVE fasta fasta

 

ufafanuzi wa MANENO fulani ya kitaalam

Hapa tunajaribu kufafananua au kuelezeana maana ya maneno fulani ya kitaaalam👌, ambao tunatumia katika maisha yetu ya kila siku, bila kujua maana🤔!
So, HAPA UJANJA tu👨‍🎓



Kurekebisha KILOMITA za gari

Uchawi ni kwamba unaoneshwa EEPROM a.k.a chip/ic ya kusoma na kuandika KM zingine mpya!

Ukisoma hizo data, kisha unaingiza kwa hizi software, utaoneshwa KM za zamani, then ubadili hizo kilomita unazotaka🤷‍♂️

HAPA UJANJA tu!

DOWNLOAD
👇👇

👆👆


AUTO ELECTRONICS(summarized basics’ software)

Haka ka software kako na zile basics za OBD blaa blaa, ufanyaji kazi wa ma sensors, actuators, codes, nk!
Picha/maneno mengi ya kitoto lakini huwezijua may be kanaweza kusaidia🤷‍♂️!
Alafu kanafunguka tu kwa computer sio simu🙄!

DOWNLOAD👇👇

👆👆


ENGINE SPEED vs VEHICLE SPEED

ENGINE SPEED inamanisha mwendo engine inazunguka (a.k.a RPM) alafu VEHICLE SPEED ni mwendo wa gari zima au tuseme muzunguko wa tayari although sio!
Hizi signal zinakuwa programmed tofauti tofauti as shown in this nonsense video!

#RPM #VEHICLESPEED #5021tips


CAN BUS SYSTEMS (Test, Diagnose, Troubleshoot & Repair)

Gari za siku hizi ni kama mwili wa mwanadamu🤔!
Sasa, CAN BUS ni kama ni mfumo wa neva, yaani nervous system, unaowezesha mawasiliano wa kila mfumo wa mwili!

Ndiyo, hizo ECU zione kama vipande vya mwili vilioonganiswa na huu mfumo wa CAN BUS!

CAN BUS (CAN = Controller Area Network) alafu BUS ni kama basi la abiria munaingia wengi lakini kila atashuka sehemu tofauti, kulingana!

So, CAN ni muungano wa ma kompyuta ziliopo kwenye gari kwamba zinawasiliana, kupeana msaada!
Mfano, kompyuta au ECU ya SUSPENSION ikihitaji umbea kuhusu speed, mwendo wa gari, itapata umbea huu kwa CAN juu computer ya ABS yenye speed sensor zinazochunguza mwendo wa gari itaweka signal hii kwenye CAN kuliko kwamba speed sensor zitafungwa kwa kila computer ya gari itahitaji mwendo wa gari🚒!

You may watch👇👇this video for deeper explanation!

TESTING & TROUBLESHOOTING CAN BUS FAULTS


CANBUS MODULE IN THE ECU


 BASIC INTRODUCTION about CAN BUS SYSTEMS

COMPUTER skills DISCUSSIONS👨‍🎓

Tunapata mada yoyote kulingana, kisha tunajadili (discuss) kikamilifu kwa njia ya kawaida mtu yeyote anaweza kuelewa …na mazoezi pia!
Hii sio jinsi shule za kawaida zinafundisha, but how the real world is🤔 so You use whatever You learn to solve real problems around You!

COMPUTER ni kifaa cha elektroniki keyenye uwezo wa kupokea ujumbe na kufanya kazi kwa huo ujumbe kulingana maagizo🤔, kiisha kutoa/kuonesha matokeo!

http://www.5021.tips/ujanja/kompyuta


COMPUTER NETWORKING (introduction)

Huu ni muhtasari wa kitafanikwa katika hii blaa blaa COMPUTER NETWORKING, yaani kama simu au laptop au whatever, zinawezaje kuwasiliana nazingine!

#computernetworking #computerbasics #5021tips


COMPUTER NETWORKING (part-1)

Huu ni umbea kwanzia kama computer mbili kwenye room moja kuwezaje kuwasiliana, then may be computer kwenye room tofauti au nyumba tofauto au mji tofauti mpaka mpaka computer zikiwa bara (continet) mbali mbali zinawezaje kuwasiliana!
Alafu tukisema computer, ione kama simu au TV au chechote kinachokuwezesha kuwasiliana!

#computernetworking #computerbasics #5021tips


COMPUTER NETWORKING (part-2)

#computernetworking #computerbasics #5021tips


MAC ADDRESS 

MAC address ni kama kitambulisho cha kifa (a.k.a network interface controller ) kinachowezesa kitu chechote kuweza kuungana kwenye (mtandao) network ili kuwasiliana vitu vingine!
Hicho ‘kitu chechote’ kinaweza kuwa simu, laptop, printer, gari, nk as long it can connect to any network!

#MACaddress #COMPUTERnetworking #5021tips



uchawi wa MAGNETIC HALL EFFECT⚡

Nguvu za magineti👌 zikija karibu kwa wire au kifaa chechote kinachopitisha umeme na kwamba kuna umeme unaopita🤔kwa hiki kifaa, kuna uchawi funi utakaotokea kusababisha/kuzalisha umeme namna tulivyolekezana kwa hii video👇! 

#MAGNETICHALLEFFECT #HALLeffect #5021tips


 

Umbea kuhusu TURBOs(diagnosis & how they work)

Nguvu za ule moshi unaotoka kwa engine unatumika kuzungusha aina ya kama pampu fulani hivi, na wakati wakuzunguka hii pump inanyonya au kuvuta hewa kutoka nje ya gari ili kuongeza kiasi cha hewa engine inahitaji kufanya kazi vizuri namna tulijaribu kueleza humu!

Na pia kuna hizo pressure sensors, temperature sensor, nk🤷🏼‍♂️ !

TURBO SYSTEM

 

 

TURBO COOLER SYSTEM

 

#turbo #turbosupercharger #5021tips


Umbea kuhusu DPF (Diesel Particulate Filter)🚒

Jinsi unafahamu engine za diesel zinatoa’nga moshi kali wenye vichembe (particles)🚆!
Sasa kwa kutaka kuzuia hizi particles zisitoke nje ya gari kuharibu mazingira, kuna kidude fulani kinawekwa kwenye exhaust pipe ya gari ya diesel ili kushika hizi particles!

Baada ya hizi particles kushikwa zinachoma mpaka kupotea namna tulijabu👇kumbushana!

#DPF #ADblue #5021tips


Bonyeza hapa NAMNA YA KUONDOA HII SYSTEM KWENYE GARI, yaaani uchawi wa DPF DELETE!

AIRBAG (SRS) SYSTEM’s (Diagnostics, Restore or & Repair Tips)

AIRBAG system iko na sensa ya kuchunguza kutikisa, ina maaana gari ikitikisa gafla kupiita kiasi isio ya kawaida, hii sensor ‘sensa’ itapeleka umbea chap kwenda kwa ECU (control boxi)!
Sasa, ECU ikipata ujumbe, kulingana, itapeleka moto (power) kwa defletor na kulipuwa AIRBAG  namna tulijaribu kuoneshana hapa👇pamoja  na chakufanya ili  kutoa/kuziima hiyo taa ya AIRBAG👨‍🔧


Ajali ikitokea, kompyuta itahifadhi kumbukumbu hili, kwamba ata ukiweka diagnosis mashine ili kuzima taa ya AIRBAG haiwezekani!

Sasa ukibonyeza HAPA  kuna ka uchawi ka kuzima au ku reset Airbag kufanya kompyuta isahau chechote, yaaani idanganye kwamba gari ni forever new!


Kuzima AIR BAG bila mashine, kulingana especially kama gari hapana kupata ajali👇


 

 

 


Maana ya maandishi kwenye mitungi🧴 ya oil

Watu wengi wamebadilisha mafuta (OIL) ya gari lao wenyewe au wamepeleka gari kwa garage kwa wataalamu!

Sasa, kipengele muhimu kuhusu blaa blaa ya mafuta (OIL) ni kuchagua aina ya OIL sahihi pamoja na right quantity🤔!

I swear, unahitaji kuzingatia nambari zilizo kwenye lebo ya mafuta (OIL) ya gari.

Unaweza kuona kitu kama “10W30” au “5W20” na ukashangaa wanamaanisha nini hiki😁😂🤣😃😄😅.


#oilspecifications #engineoil #5021tips


ujanja wa Virtual Private Server (VPS)

A Virtual Private Server (VPS) uses virtualization software to partition physical servers into multiple “virtual” servers—each having the ability to run its own operating system and applications.

VPS is not for everyone, but is quickly becoming the hosting preference of choice for advanced Web developers who require root access to the server to run their own software.

#VPS   #VPN  #5021tips


 

Uchawi wa PIEZOELECTRIC EFFECT

Huu uchawi wa PIZOELECTRIC EFFECT ni kwamba, ukigonga au kukandamiza kitu kiliotengenezwa kwa ile kemikali ya crystal blaa blaa😂🤣😁, hicho kitu kinaweza kuzaa umeme.

TENA ukipitisha umeme katika hicho kitu, kitatemeka (to vibrate/shake or move)! So ni vice versa namna tulijaribu kuoneshana kwenye hii video🤷🏼‍♂️


AUTOMOTIVE ELECTRONICS (sensors, actuators, ECU,etc)

Kwa kutaka kuongeza nguvu za magari, bila kutumisa mafuta mengi, pamoja na bila kuharibu mazingira🤔, wataalamu waligundua namna ya kuchunguza mafuta na hewa inaoingia kwenye engine…pamoja na kuchunguza huo moshi unaotoka kwa engine🙄 ili husiharibu mazingira nje ya gari.

So waliweka sensor za kuchunguza na kupeleka umbea kwenye ECU/control box (computer), alafu ndo computer iwaambie actuators kazi ya kufanya, kulingana🤷🏼‍♂️!
Sasa, kwasababu engine ya gari inategemea mafuta na hewa ili kuweza kufanya kazi, ndo maana njia za mafuta na hewa pamoja na hewa chafu (moshi) waliweka hizo sensor na actutors! So we shall look at all the sensors on in each systems as ellaborated in this video


AIRFLOW METER SENSOR

Either hii sensor inapima tu ujoto, AU inapima ujoto pamoja na uzito wa hewa inaoingia ndo hapo inaitwa Mass Airflow meter sensor!

Ikiwa inapima tu ujoto inakuwa na wire 2 tu

Iiwa inapima ujoto na uzito wa hewa, inaweza kuwa na🤔,
> 5 wires (2 yakupima joto, 3 za kupima uzito)
>4 wires (ground au negative wire ya upande wa kupima joto iko pamoja na ya upande wa kupima uzito)
>3 wires hakuna upande wakupima ujoto, inapima tu uzito wa hewa!

Hii video tuloneshana namna sensor inafanya kazi, pamoja na kupimwa ikiwa natatizo👩🏼‍🔧


MANIFOLD ABSOLUTE PRESSURE SENSOR (MAP)

Hewa ikifika kwenye inlet manifold itakutana hewa ingine inaotokea njia zingine kama Turbo, EGR, EVAP system, nk!

Ina maana lazima au bora kuwepo namna ya kupima jumla ya hewa iliopo kwenye manifold kabla kuingia kwenye engine🤔 hapo ECU ama control ijue kiasi cha mafuta itafanya injector zitoe😎!

So, hii MANIFOLD PRESSURE SENSOR ndo inapima jumla ya hewa iliopo kwenye inlet manifold!
Hii sensor mara nyigi ni 3 wires🤔,
moja ni 12V au 5V, ingine ni Negative/ground, Ingine ni ya SignalHii sensor ilitengenezwa kwa uchwa wa PIEZOELECTRIC EFFECT, ukibonyeza hapa tulijaribu kuonesha maana ya huu uchawi

Otherwise nama hii sensor inafanya kazi na kupimwa ili kujua kama ina tatizo, tulijaribu kuineshana katika hii video


ACCELERATOR PEDAL POSITION SENSOR

Sii ujajua hizi gari za kisasa kile ki pedal ni cha umeme⚡ tofauti kwa zile gari za zamani kulikuanga ka metal fulani🙄Sasa hii sensor ina sensor mbili kwa moja, because the other ni ya emegency kama upande moja ukiharibika, namna ya ufanyaji kazi na kupimwa in this video👇

#ACCELERATORPEDALSENSOR  #DRIVEbyWIRE  #5021tips


ELECTRONIC THROTTLE CONTROL

Baada ya kuganyaga kwenye accelerator pedal umbea unapelekwa kwa ECU (control box) ili ijue namna ya kunfungua hiki ki blaa blaa THROTTLE cha kuruhusu hewa ingie kwenye Engine! Hii ELECTRONIC THROTTLE CONTROL iko na kile kiko ka ulimi ya mtu hiivi kufungua na kufunga🤷🏼‍♂️!
Kuna mota (motor) ya kutembeza hiki ki ulimi! 

Na kuna sensor ya kuchunguza hiki ki ulimi kimefunguka kiasi gani🤔!
Namna ya kupima AND ufanji kazi tazama hii video😎

#THROTTLEbody #ENGINEsensors #5021tips


FUEL TANK-COVER SENSOR

Bila kufunga mfuniko wa kwenye tenki la mafuta, inasababisha upepo wa nje kuingia au ata mafuta kupotea kwa nja ya upepo (Evaporation)🙄!

Sasa, ili kuhakisha unafunga mfuniko wa tenki, kuna sensa iliwekwa ili kwamba usipofunga, kuna taa itaonesha kwenye instrument cluster au ata taa ya check-engine yenyewe…au kuna uchawi ECU inafanya kwenye gari ili isitembee vizuri mpaka ufunge huu mfuniko😎!

#fueltankcover #automotivesensors #5021tips


FUEL TANK PRESSURE SENSOR

Jinsi unavyojua🙄, ukiweka kitu chochote kilivyo kama maji (liquid substance) kwenye kama dumu hivi, ukichezesha (shake) hiyo dumu, kuna pressure inatokea!

Sasa, ata maafuta kwenye tenki la gari, kila gari ikitembea obviously inacheza so yale mafuta kuna uchawi unatokea kuyafanya kubadilika kuwa ya upepo na kuongeza pressure kwenye tenki, ndo maana kuna FUEL TANK PRESSURE SENSOR yakuchunguza kiasi cha pressure kwenye tenki😎!

Hii sensor ilitengenezwa kwa uchwa wa PIEZOELECTRIC EFFECT, ukibonyeza hapa tulijaribu kuonesha maana ya huu uchawi, so na maana ina 3wires🤷🏼‍♂️

Wakati gari inatembea, inachezesa tenki na kufanya yale mafuta (kama maji) kubadilika au ku evaporate kuwa upepo🤔!

Sasa, hii EVAP SYSTEM inaosaidia kufanya uchawi ili yale mafuta ya upepo yasichanganyike au yasiende kwenye njia ya mafuta ya maji! Hii EVAP SYSTEM iko na njia mbadala yakupitisha upepo kwenda kwenye manifold au nje ya gari kulingana😨!

Kuna ile meter ya kuchunguza kiasi cha mafuta kwenye tenki (tank), kuna pump, kuna ka sieve ka kusfisha hayo mafuta, na🤔….jinsi tuanelekezana kwa hii video👇!


FUEL PRESSURE REGULATOR


 IDLE AIR CONTROL SYSTEM

Ukitoa mugu kwenye accelerator pedal (ile yakuongeza nguvu ya gari) ata ule mfuniko wa kuruhusu hewa ingie kwa engine unaziba🤐 ina maana engine ikikosa hewa itazimika🤷🏼‍♂️!

Sasa uchawi wa IAC valve ni kufungua ka njia fulani ile hewa ipite kufika kwa engine ata ukitoa muugu👌 au tuseme ukitoka kwa gari inaendelea kuaka!

#IACvalve #ENGINEsensors #5021tips


CRANKSHAFT  & CAMSHAFT POSITION SENSORS

Assuming kwamba unajua crankshaft au camshaft ni nini, sasa ili kuweza kujua muda gani wakati cylinder fulani inafanya kitu gani na inahitaji nini, hizi CAMSHAFT na CRANKSHAFT POSITION SENSOR kuna uchawi unaziwezesha kujua ipi niaje, na kupleka huu umbea kwenye computer ya gari namna tulijaribu kumbushana au kuoneshana🍻

#crankshaftpositionsensor #camshaftpositionsensor #5021tips


ENGINE COOLANT TEMPERATURE SENSOR

Jinsi unavyojua, kifaa chenye uwezo kutembeza umeme kinabadilika kulingana ujoto au ubaridi🤔!

So computer ya gari inatuma umeme kuzunguka kwenye hii ENGINE COOLANT TEMPERATURE SENSOR , kuligana ujoto/ubaridi umeme (volts) zitazorudi kwa computer, either itapungua au kubaki niaje namana tulioneshana👨‍🔧


AUTO TRANSMISSION tech & DIAGNOSIS outlines

Kwenye AUTO TRANSMISSION, uchawi zaidi zaidi ni wa valve ambao valve zinategemea solenoid, zingine ni pressure sensor na temperature sensor!

SO, kama ulihelewa vizuri kuhusu blaa blaa za hizi sensor kwenye system zingine, then ili muradi picha inakuonesha hii sensor iko wapi, then troubleshooting AUTOMATIC TRANSMISSION troubles ni kama kunywa maji🍻!

#VALVEBODY #AUTOMATICTRANSMISSION #5021tips


TROUBLESHOOTING CONTROL SYSTEMS

Uchawi kuweza blaa blaa ya ma sensor, control boxi, sijui actuators ni kujua mfano ni sensor gani, iko wapi, inafanya kazi gani, inafanyaje hiyo kazi as in iliundwaje (how it is made), nk!

So ukipata umbea huu wote ndo utajua inahitaji kupeleka au kutoa umeme gani kutoka wapi au blaa blaa as we explained in here👨🏼‍🎓 !

#electricalcontrolsystems #automotivesensors #5021tips

Misingi ya CAR KEY PROGRAMMING



Kwanza moja kwa moja, ukumbuke how immobilizer systems work, what components involved, why and how to supercalifragilisticexpialidocious if lost or spare keys🤷‍♂️



Kwanzia hizo TRANSPONDER KEYS funguo za chuma za kawaida, mpaka hizo SMART KEY, tunaanza na mifumo, jinsi zinafanya kazi, ili uweze kuelewa kwanini, mashine fulani ndo zinazo kamilisha kazi fulani!


TRANSPONDER KEYS

Kwa kutaka kuzuia wizi, walifanya uchawi kwenye gari kwamba isipo kuwa funguo maalum ya hiyo gari maalum, hiyo gari haiwezi kuendeshwa. Kwenye funguo waliweka kadude fulani kanaitwa Transponder
Sasa haka kadude namna tulivyoneshana kwa video, kuna neno siri ama PIN a.k.a password ambao lazima ifanane na ilyo kwenye gari. Isipo fanana gari haitawaka!

So, kwa hii video tulijaribu kuoneshana namna hiizi blaa blaa zote zinafanya kazi

Ina maana hiyo funguo maalum ya kuendesha gari maalum ikipotea lazima ufanye uchawi wa ziada kuirudisha namna tuliojaribu kumbushana katika hii video!

ONYO🚨: Mara kwa mara kuna ujanja unaotokea wa nmna ya kufanya key programming, so hii ni just basics of what could be done in case🤷‍♂️!



TRANSPONDER DETAILS

Na hata kama hizo transponder zinafanana kwa muonekano, lakini ziko tofauti kaaabisa! Yaani ziko na namba mf., ID46, 4C, TPX7, nk kulingana aina ya gari! Ina maana ukileta tranponder ya Toyota Corona kuiweka kwa system ya Toyota Carina, hazitafanya🤷🏼‍♂️ namna tulioneshana kwenye hii video



Sasa kuna system zenye funguo za transpoder kama tumeone, na kuna smart key systems


SMART KEY SYSTEMS

Sasa, hizo smart zinabaki mfukoni kwamba unaeza kufungua mlango na kuendesha gari bila kuigusa hiyo funguo!

KEYLESS ama SAMRT KEY SYSTEM ina upande miwili, upande wa kuasha gari KEYLESS IGINITON SYSTEM, na upande mwingine wa tuseme kifahari hiiivi, KEYLESS ENTRY SYSTEM ile yakufungua mlango, booti, kutembeza viti, nk!

So namna hii video inakuonesha tutangaliza hizo part tofauti tofauti


KEYLESS IGINTION SYSTEM

Sasa tukianza na KEYLESS IGINTION SYSTEM tutaona namna SMART ECU ikishirikiana na ID CODE BOX, BODY ECU, ENGINE ECU, nk, kama TRANSMISION ECU, STEERING LOCK ECU, nk, ili kuwezesha engine kuaka kwa kutambua kama ndo funguo sahihi ilioko mfukoni ya huyo mtu anaejaribu kuendesha hiyo gari!
Hii video ni ndeeefu pamoja na maneno mengi ya kurudia rudia ili uweze kuipata vizuri!


KEYLESS ENTRY SYSTEM

Sasa hapa tunajaribu kuoneshana KEYLESS ENTRY SYSTEM, utaona kwamba hapa ni SMART ECU na BODY ECU na componet zingine zinazohusiana…pamoja na uchawi gani unaweza kufanya kukitokea blaa blaa yeyote kwenye hii system!


Unajua kuna mashine nyigi na ni rahisi kutengeneza au kuongeza funguo ya smart. LAKINI ukikosea kidogo tu, ni hatari na kwamba system nzima utakuwa umehiharibu🤷‍♂️!

So be careful when diagnosising for problems or when using diagnosis machine as we tried ellaborate in this video



IMMO OFF & IMMOBILIZER DECODING

Kufanya IMMO OFF ni ule uchawi kufanya gari iwake na funguo yeyote kama kawaida au kama mifumo ya zamani.  IMMOBILIZER DECODING🙄, ni kama ufunguo umepotea, unafuta kumbu kumbu ya ufunguo, kuirudisha kuwa bikira (virgin) kama mwanamke akiwa ajaolewa, namna gari inavyokuwa kiwandani!

Namna tulioneshana kwenye hii video, kufanya IMMO OFF either unaweka emulator au ku edit data za IC ama chip ya funguo!

ONYO 📌

kama unajelewa niaje, mambo ya EEPROM data blaa blaa, tumekuwekea hapa data za IMMO OFF na DUMPS (virgin Data), otherwise endelea kujifunza niaje! 

Data za IMMO OFF 
BONYEZA HAPA



IMMOBILIZER SECRET PIN CODES

Na, sometimes, ukiwa na secret codes fulani, ziwe SMART KEYS au TRANSPONDER KEYS, kwa kutumia ata diagnosis machine ya kawaida, unaweza kufanya ujanja fulani! 
So, tumekuwekea program kuwezesha kupata hizo secret codes fulani!

BONYEZA HAPA 



TRANSPONDER & EEPROM details!


Tena tulijua kwamba funguo ikipotea unaweza kupata code/passsword kutoka hiyo EEPROM ili ukatumbukize kwenye funguo ingine ndo gari iwake, au pia kama control boxi imekufa unatoa haka EEPROM ukaweke kwa hiyo control boxi ingine👌!
Sasa uchawi ni kusipojua EEPROM ya funguo iko wapi na ni gani katika hizo nyingi zilizopo kwenye circuit board, maana iwe control boxi au immo box kuna EEPROM nyingi nyingi.

So hii App📲 ya kwenye simu au na kompyuta💻, inakusadia kujua EEPROM ipi au Transpoder ipi inaendana hiyo gari🤔!


BONYEZA  HAPA



EEPROM WORK

Sasa tayari umejua ni EEPROM gani ya funguo🙄, je unajua nini chakufanya uweze kuisoma, kubadili ili ufanye IMMO OFF au DECODE ili kupata code/password ya funguo kutoka hiyo EEPROM?So ukibonyeza HAPA utona tulikumbushana au kuoneshana kuhusu data inakuanga humu, inakaje, inasomwa au kubadilishwa namna gani🤷🏼‍♂️ hizo blaa blaa binary, HEX, address, nk, mara Flash Memory, EEPROM memory, nk!

BONYEZA HAPA



KEY PROGRAMMING BOOK

Hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk!
Yaani unapata almost kila umbea mhimu👌!
Ni PDF📲 popote💻 kinafunguka!

BONYEZA HAPA 



KEY PROGRAMMING SOFTWARES

Tuseme umepata idea ya namna funguo zinafanya👌!
Na funguo ikipotea umejua kwamba unaweza kutumia data ya EEPROM kuweza kutenegeza ufunguo mwingine AU ukafanya IMMO OFF ukatoa tu immo system ili gari ikubali funguo yeyote.
Sasa changamoto ni kujua uchawi gani wa kufanya immo off au ku program funguo ingine kwa kutumia data ya EEPROM ndo maana ukitaka niaje😢!
Tumekusanya kila aina ya programu, yaani software kufanya ujanja wowote kwenye kila gari🤔, bonyeza tu HAPA HAPA HAPA🤷‍♂️!
Huu ni mifano namna hizi softyware ziliopo! Ni nyiiingi👌!


BONYEZA HAPA TO DOWNLOAD THIS FULL PACKAGE OF DVD


na TENA na tena, je🤔

 

BMW (vitabu vya maelekezo ya ufundi kwa simu)

Kiliofanywa ni kuweka kwa website hii www.5021.tips/ujanja/allbmbooks namna ya blaa blaa zote hizo kuhusu vitabu vyenye maelekezo ya ufundi wa gari za BMW ili kwamba hata ukiwa kwenye simu au computer popote ulipo unapata kila🤷🏼‍♂️!

So namna tunaelekezana katika hii video, this how you can access these manuals👇!
Lakini kama unauhakika utaweza kuitumia hii website bila kuangalia hii video, then BONYEZA HAPA uendelee🤷🏼‍♂️!

#bmwservicemanual #bmwrepairmanuals #5021tips


Translate /Tafsir /Traduire