Hii inaweza kukusaidia kurudisha funguo zilizopotea, au kutengeneza funguo za vipuri!
Pata nambari ya VIN au CHASIS ya gari iliyopoteza funguo, iandike hapa kwenye hii programu ili kupata nenosiri kuu ili ufunguo mpya uweze kuruhusiwa kwenye mfumo!
Tumia mashine yoyote ya OBD ikiwa na uwezo kuingia ndani mwa hizi gari, LAKINI, hii ni ikiwa vifaa vya usalama vya gari hili bado ni vile vilikuja na gari kutoka kiwandani, ndiyo, na ata kama ni hivyo, data za ndani zisiwe zilichezewa/kubadilishwa!
Vinginevyo, ikiwa vipengele vya mfumo vilibadilishwa, soma tumia data ya EEPROM katika ECU kama programu itaelezea na kukupa maelekezo!
Iwe Unatumia mashine ya kawaida, au mashine ya kisasa, ili kuweza kufikia maeneo fulani ili kufanya kazi fulani, unahitaji nenosiri maalum!
Tumia ujanja huu kuweza kufanya kufanyaΒ ECU programming, KEY programming, kuunganisha vipuri vipya, yaani ku adapt spare parts, pamoja na kazi zingine za kitaalamu kwenye magari ya VAG, VW, AUDI, SKODA, n.k!
Pata maelezo zaidi HAPA kutoka kwa wataalam wenyewe wa Ross-Tech!
Otherwise, tumekuwekea zana hizi za kuweza kupata passwords, chini ya video hii inaoonyesha jinsi ya kuzitumia!
Our teams have dealt with a non-start situation with on many Mercedes commercial vehicles.
The main cause of the START ERROR being displayed on the dash is due to corruption of data in 2 of the vehicles main units,
one is the Temic immobiliser box also known as the WSP and the Main Engine control unit.
We recommend trying a few things before going deeep!
Test vehicle’s battery to be in a good state Try a different key Try the original key on its own with no other keys surrounding the ignition If you have done this and you still have the START ERROR message there could be a number of issues, we recommend having a deep diagnosis to pinpoint where the fault lies.
Common Faults leading to START ERROR on with certain Mercedes Benz:
Jump starting Battery power not sufficient The transponder in your key is faulty or missing Antena coil on ignition faulty ECU fault Fuel pump fault We also recommend testing for power on your WSP plug. Pin 3 is continuous +12V direct from the battery, Red/Yellow Wire Pin 7 is ignition +12V when your key is in position 1 and 2, Black /Yellow Wire If there is no power on either you will get START ERROR on the dash.
If all seems correct, but still sh*t, download thee and so as below in this video
This a collection of Toyota immobilizer virgin files (dumps) for resetting various Toyota carsβ Immobilizer systems. These are needed in order to make the vehicle accept new or used keys.
These files are in binary (.bin) format and can be read au written kwa serial EEPROM programmer yeyote.
Kusema βvirginβ, kama kumfanya mwanamke mwenye watoto, kumrudisha kuwa bikiraπ€·ββοΈ!
Anyway, it means that these files, when programmed (written) into the immobilizer EEPROM chip of the right vehicle, bila kukosea, it will put the immobilizer circuit in auto registration mode!
Sasa, this is when it will register the first βcompatibleβ, yaaani πcompatibleπ key thatβs used, remember, lazima iwe compatible (kuingiliana), making it the master key. After that, similar keys can be added. Tuko pamoja?
These files are to be written in the immobilizer EEPROM chip, located either in the vehicle’s Engine Computer (Engine Control Module) or in the immobilizer ECU module (immobox), depending on the model.
This will reset the Immobilizer, putting the vehicle in key auto-registering mode, so it accepts your current, old or new keys.
If you have forgotten, may be you didn’t know noneπ€·, You may click HERE for to where we tried to remind each other all about key programming & tools needed!
Tulijaribu kuelekezana kuhusu data ya kwenye IC/EEPROM/CHIP, as in, namna ya kusoma, edit, delete, copy, nk hizo EEPROM data! Kama bado hujapitia, na unataka kupata idea ya niaje hizo blaa blaa, then bonyeza hapaπ www.5021.tips/ujanja/eepromwork π
Sasa unaeza kuwa huna mashine yeyote ya hizo EEPROM na kweli unataka kufanya mazoeziπ€·ββοΈ!Β So what we have done, ni kuwekea hapa software inasoma hizo data, pamoja na mfano ya hizo EEPROM data ili ufanye mazoezi ku edit, delete, blaaa blaaa, you know?
SOFTWARE YA KWANZA na maelekezo ya matumizi kwenye hii video kiisha download hapo chini ya hii video
Hizi software ni zenye uchawi wa kutengeneza funguo mpya wa au kwa, gari iliopoteza funguo wake, au kuongeza funguo zingine for back up moja ikipotea, then na ukitaka kutoa huu usumbufu wa immobiliser ( a.k.a IMMO OFF) ili gari iendeshwe kwa funguo ya kawaida!
Gari zingine utahitaji tu diagnosis mashine ya kawaida, gari zingine mpaka kungoa au kucheza na data za EEPROM namna tuliokumbusha hapa www.5021.tips/ujanja/keyprogramming
Tumeweka tofauti tofauti za hizi software, maana unaeza kuta moja kuna aina ya gari inakosa, na ingine pia! So, zikiwa software tofauti tofauti pamoja, huwezikosa unaotakaπ!Β Aiise, kuna thousands of tested & working dumps za almost kila ECU.
Kuna detailed picha za ECUs na components zingine, pamoja with pinouts and wiring diagrams, maelekezo ya kila chakufanya!Β Hizi files kuna original na modified dumps that can be programmed into respective ECU.
Kwa ufupi, hii DVD inaπ,
Immo OFF za kutoa, kuzima, kupotezea immobiliser signal kwenye gari na kwamba gari inaeza kuashwa kwa funguo lolote!
Virgin virgin files za ku restore immobiliser systems to factory settings ili iweze kupokea funguo yeyote utaiingiza mara ya kwanza!
Emulatorwith ready-to-use files na maelekezo kuhusu nini namna naniππ π€£π especially wakati unafanya immo off kwenye badhi ya gari!
Key writing kuwezesha kuandika key code kwenye ECU memory.
PIN caliculators ili uweze kubaliwa ku access data ya ECU zikiwa locked!
Pictures and wiring diagramsza almost kila ECU ! Yaaaani, components , memories, plugs, nk!
Kwanza ukiweka aina ya gari, hii progrogram itakuonesha chip/EEPROM ya ku deal nayo! Tena, assuming kwamba unajua ujanja wa EEPROM, kusoma, ku save data, nk, ukitaka bonyeza hapaΒ tuliekezana! Ukiweza kusoma data ya hiyo chip ama EEPROM ya funguo, unaweka tu hiyo data kwa hii program kiisha inafanya uchawi na kurudishiya data wa kuweka kwa hiyo. Sii unajua ama umesikia blaa blaa kuhusu sijui ‘dampu’ mara ‘original data’ vitu namna hiyo, sasa briefly jua tu kwamba wakati gari inatengenezwa security system inakuwa kama binti bikira ya kwamba funguo yeyote itakapoingizwa mara ya kwanza, ikiwa sahihi, ndo hiyo funguo itaendelea kuasha hiyo gari! Sasa, uchawi wa hii program ni kwamba ukiipatia data kutoka kwa hiyo EEPROM kwenye gari ya funguo liliyopotea, hii programu inafanya uchawi wa kufanya hii gari ku kubali funguo yeyote utakapoingiza mara ya kwanza, a.k.a key decoding, a.k.a virgizing a.k.a nkππ€£πππ
PROGRAM iliomo ingine nayo ukiweza kusoma data ya hiyo chip ama EEPROM ya funguo, unaweka tu hiyo data kwa hii program kiisha inafanya uchawi na kurudishiya code ya kuandika kwenye hiyo transponder…ama kama unayo mashine imeonganisha kwa hiyo laptop yako, funguo itatengenezwa moja kwa moja!
Hizi software ni zenye uchawi wa kutengeneza funguo mpya wa au kwa, gari iliopoteza funguo wake, au kuongeza funguo zingine for back up moja ikipotea, then na ukitaka kutoa huu usumbufu wa immobiliser ( a.k.a IMMO OFF) ili gari iendeshwe kwa funguo ya kawaida!
Gari zingine utahitaji tu diagnosis mashine ya kawaida, gari zingine mpaka kungoa au kucheza na data za EEPROM namna tuliokumbusha hapa www.5021.tips/ujanja/keyprogramming
Tumeweka tofauti tofauti za hizi software, maana unaeza kuta moja kuna aina ya gari inakosa, na ingine pia! So, zikiwa software tofauti tofauti pamoja, huwezikosa unaotakaπ!Β Aiise, kuna thousands of tested & working dumps za almost kila ECU.
Kuna detailed picha za ECUs na components zingine, pamoja with pinouts and wiring diagrams, maelekezo ya kila chakufanya!Β Hizi files kuna original na modified dumps that can be programmed into respective ECU.
Kwa ufupi, hii PACK inaπ,
Immo OFF za kutoa, kuzima, kupotezea immobiliser signal kwenye gari na kwamba gari inaeza kuashwa kwa funguo lolote!
Virgin virgin files za ku restore immobiliser systems to factory settings ili iweze kupokea funguo yeyote utaiingiza mara ya kwanza!
Emulatorwith ready-to-use files na maelekezo kuhusu nini namna naniππ π€£π especially wakati unafanya immo off kwenye badhi ya gari!
Key writing kuwezesha kuandika key code kwenye ECU memory.
PIN caliculators ili uweze kubaliwa ku access data ya ECU zikiwa locked!
Pictures and wiring diagramsza almost kila ECU ! Yaaaani, components , memories, plugs, nk!
Hapa tumeweka taka taka yoooote, as in tumeweka kila software ya kufungua almost kila aina ya radios! Uchawi ni, either kuingiza tu SERIAL NUMBER, kiisha unapata unlock codeπ€·ββοΈ! Ama, kutoa ili usome na kubadili data iliomo kwenyeIC/EEPROMfulani kwa motherboard ya hiyo radio namna tulioelekezana kwa video au kwa PDF ilioko kwa hizo software!
Hizi video ni mfano ya namna huo uchawi unavyotumika kufanya kaziπ then after download below the video!
Jinsi hii video inakuonesha, hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk! Yaani unapata almost kila umbea mhimuπ!
Technologia inabadilika kila sekunde, so ukiona mashine fulani ndo ilitumika, usikulupuke kununua hiyo mashine unaezakuta kuna mashine ingine mpya/bora! Hiki kitabu kikusadie tu kutoa mwanga kwa macho yako, nenda ufanye research nyingi zingine boraππΌ!
Tena tulijua kwamba funguo ikipotea unaweza kupata code/passsword kutoka hiyo EEPROM ili ukatumbukize kwenye funguo ingine ndo gari iwake, au pia kama control boxi imekufa unatoa haka EEPROM ukaweke kwa hiyo control boxi ingineπ! Sasa uchawi ni kusipojua EEPROM ipi ya funguo maana iwe control boxi au immo box kuna EEPROM nyingi nyingi. So hii software inakusadia kujua EEPROM ipi au Transpoder ipi inaendana hiyo gariπ€ namna hii video inaonesha kiisha ushuke chini ku download!
Kuna two 2options,Β Β Either download for use on phone, or for laptop, or both!
Ukitaka, BONYEZA HAPA, upate ile Appπ² ya kwenye simu nama hii video inaonesha!
Kwanza moja kwa moja, ukumbuke how immobilizer systems work, what components involved, why and how to supercalifragilisticexpialidocious if lost or spare keysπ€·ββοΈ
Kwanzia hizo TRANSPONDER KEYS funguo za chuma za kawaida, mpaka hizo SMART KEY, tunaanza na mifumo, jinsi zinafanya kazi, ili uweze kuelewa kwanini, mashine fulani ndo zinazo kamilisha kazi fulani!
TRANSPONDER KEYS
Kwa kutaka kuzuia wizi, walifanya uchawi kwenye gari kwamba isipo kuwa funguo maalum ya hiyo gari maalum, hiyo gari haiwezi kuendeshwa. Kwenye funguo waliweka kadude fulani kanaitwa Transponder Sasa haka kadude namna tulivyoneshana kwa video, kuna neno siri ama PIN a.k.a password ambao lazima ifanane na ilyo kwenye gari. Isipo fanana gari haitawaka!
So, kwa hii video tulijaribu kuoneshana namna hiizi blaa blaa zote zinafanya kazi
Ina maana hiyo funguo maalum ya kuendesha gari maalum ikipotea lazima ufanye uchawi wa ziada kuirudisha namna tuliojaribu kumbushana katika hii video!
ONYOπ¨: Mara kwa mara kuna ujanja unaotokea wa nmna ya kufanya key programming, so hii ni just basics of what could be done in caseπ€·ββοΈ!
TRANSPONDER DETAILS
Na hata kama hizo transponder zinafanana kwa muonekano, lakini ziko tofauti kaaabisa! Yaani ziko na namba mf., ID46, 4C, TPX7, nk kulingana aina ya gari! Ina maana ukileta tranponder ya Toyota Corona kuiweka kwa system ya Toyota Carina, hazitafanyaπ€·πΌββοΈ namna tulioneshana kwenye hii video
Sasa kuna system zenye funguo za transpoder kama tumeone, na kuna smart key systems
SMART KEY SYSTEMS
Sasa, hizo smart zinabaki mfukoni kwamba unaeza kufungua mlango na kuendesha gari bila kuigusa hiyo funguo!
KEYLESS ama SAMRT KEY SYSTEM ina upande miwili, upande wa kuasha gari KEYLESS IGINITON SYSTEM, na upande mwingine wa tuseme kifahari hiiivi, KEYLESS ENTRY SYSTEM ile yakufungua mlango, booti, kutembeza viti, nk!
So namna hii video inakuonesha tutangaliza hizo part tofauti tofauti
KEYLESS IGINTION SYSTEM
Sasa tukianza na KEYLESS IGINTION SYSTEM tutaona namna SMART ECU ikishirikiana na ID CODE BOX, BODY ECU, ENGINE ECU, nk, kama TRANSMISION ECU, STEERING LOCK ECU, nk, ili kuwezesha engine kuaka kwa kutambua kama ndo funguo sahihi ilioko mfukoni ya huyo mtu anaejaribu kuendesha hiyo gari! Hii video ni ndeeefu pamoja na maneno mengi ya kurudia rudia ili uweze kuipata vizuri!
KEYLESS ENTRY SYSTEM
Sasa hapa tunajaribu kuoneshana KEYLESS ENTRY SYSTEM, utaona kwamba hapa ni SMART ECU na BODY ECU na componet zingine zinazohusiana…pamoja na uchawi gani unaweza kufanya kukitokea blaa blaa yeyote kwenye hii system!
Unajua kuna mashine nyigi na ni rahisi kutengeneza au kuongeza funguo ya smart. LAKINI ukikosea kidogo tu, ni hatari na kwamba system nzima utakuwa umehiharibuπ€·ββοΈ!
So be careful when diagnosising for problems or when using diagnosis machine as we tried ellaborate in this video
IMMO OFF & IMMOBILIZER DECODING
Kufanya IMMO OFF ni ule uchawi kufanya gari iwake na funguo yeyote kama kawaida au kama mifumo ya zamani.Β IMMOBILIZER DECODINGπ, ni kama ufunguo umepotea, unafuta kumbu kumbu ya ufunguo, kuirudisha kuwa bikira (virgin) kama mwanamke akiwa ajaolewa, namna gari inavyokuwa kiwandani!
Namna tulioneshana kwenye hii video, kufanya IMMO OFF either unaweka emulator au ku edit data za IC ama chip ya funguo!
ONYO π
kama unajelewa niaje, mambo ya EEPROM data blaa blaa, tumekuwekea hapa data za IMMO OFF na DUMPS (virgin Data), otherwise endelea kujifunza niaje!Β
Na, sometimes, ukiwa na secret codes fulani, ziwe SMART KEYS au TRANSPONDER KEYS, kwa kutumia ata diagnosis machine ya kawaida, unaweza kufanya ujanja fulani!Β So, tumekuwekea program kuwezesha kupata hizo secret codes fulani!
Tena tulijua kwamba funguo ikipotea unaweza kupata code/passsword kutoka hiyo EEPROM ili ukatumbukize kwenye funguo ingine ndo gari iwake, au pia kama control boxi imekufa unatoa haka EEPROM ukaweke kwa hiyo control boxi ingineπ!
Sasa uchawi ni kusipojua EEPROM ya funguo iko wapi na ni gani katika hizo nyingi zilizopo kwenye circuit board, maana iwe control boxi au immo box kuna EEPROM nyingi nyingi.
So hii Appπ² ya kwenye simu au na kompyutaπ», inakusadia kujua EEPROM ipi au Transpoder ipi inaendana hiyo gariπ€!
Sasa tayari umejua ni EEPROM gani ya funguoπ, je unajua nini chakufanya uweze kuisoma, kubadili ili ufanye IMMO OFF au DECODE ili kupata code/password ya funguo kutoka hiyo EEPROM?So ukibonyeza HAPA utona tulikumbushana au kuoneshana kuhusu data inakuanga humu, inakaje, inasomwa au kubadilishwa namna ganiπ€·πΌββοΈ hizo blaa blaa binary, HEX, address, nk, mara Flash Memory, EEPROM memory, nk!
Hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk!
Yaani unapata almost kila umbea mhimuπ! Ni PDFπ² popoteπ» kinafunguka!
Tuseme umepata idea ya namna funguo zinafanyaπ!
Na funguo ikipotea umejua kwamba unaweza kutumia data ya EEPROM kuweza kutenegeza ufunguo mwingine AU ukafanya IMMO OFF ukatoa tu immo system ili gari ikubali funguo yeyote.
Sasa changamoto ni kujua uchawi gani wa kufanya immo off au ku program funguo ingine kwa kutumia data ya EEPROM ndo maana ukitaka niajeπ’!
Tumekusanya kila aina ya programu, yaani software kufanya ujanja wowote kwenye kila gariπ€, bonyeza tu HAPA HAPA HAPAπ€·ββοΈ!
Huu ni mifano namna hizi softyware ziliopo! Ni nyiiingiπ!
NATS, kwa urefu ni, Nissan Anti-Theft System,
ni kuhusu ule uchawi uliko kwenye gari za NISSAN kwamba usipotumia funguoπ sahihi, gari haiwezi kuwakaπ!
Sawa, funguo inaeza kuwa sahihi lakini ukibadilisha tuseme computer ya engine (ECU) au computer ya body (BCM) au anything could have happened kwamba lazima ukutaanishe (initialize ama adapt) vifaa vyote kwenye hii NATSπ€!
Sasa baada ya, au ukimaliza kukumbuka au kujua namna na nini chakufanya kwa hizi blaa blaa za NATS, tumekuwekea software hapo chini ya kufanya uchawi wa NATS aina zoooote! LAKINI, kama unajiamini, nenda chini ya hii page uweze ku download moja kwa moja!
Sasa wakati unafanya initialization ukiwa na mashine yeyote ya diagnosisπ¨βπ§, kutafika wakati unahitaji neno siri (password) fulani ili uweze kukamilisha. Uchawi zaidi ni kwamba hizi unapaswa kuzipata sehemu maalum kutoka kwa watu fulaniπ!
Sasa hapa tunapeana ujanja wa namna kupata hizo passwords (NATS code)!
Assuming kwamba unajua ujanja wa EEPROM, kusoma, ku save data, nk, ukitaka bonyeza hapa https://youtu.be/TGbrQwNzlDY tuliekezana! Anyway, baada ya kutambua na kusoma data kutoka hiyo EEPROM ya funguo ama DPF ama whatever, hiyo data unaiingiza tu kwa hii program na ndani ya sekunde 0 sifuri, program inafanya uchawi kisha kurudishia data utakapoingiza /kurudisha/kunadika kwenye hiyo EEPROM namna hii video inakuonesha!
Na hii pia maana kuna zingine ukizikosa unazikuta huumuπ