Full Auto Diagnosis & Troubleshooting, Technician Technical Training (partY)

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, uende moja kwa moja au ushuke chini  kabisa! 

RANDOM STUDY MATERIALS


Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, upate!

Advanced Engine Control (Technician Training)

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, uende moja kwa moja au ushuke chini  kabisa!

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, upate!

Hybrid General Service (Technician Training)

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, uende moja kwa moja au ushuke chini  kabisa! 

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, upate!

Diagnosing Electronically Controlled Braking Systems (Technician Training)

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, uende moja kwa moja au ushuke chini  kabisa! 

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, upate!

ENGINE CONTROL (Technician Training)

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, uende moja kwa moja au ushuke chini  kabisa!

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, upate!

AUTOMATIC transmission (Technician Training)

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, uende moja kwa moja au ushuke chini  kabisa! 

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, upate!

Full Auto Diagnosis & Troubleshooting, Technician Technical Training (partX)

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, uende moja kwa moja au ushuke chini  kabisa! 

RANDOM STUDY MATERIALS

Ukumbuke, haya maandishi ya PDF yote, yako pia kitika video ndefu ya systems zote!
Unaeza kubonyeza HAPA, upate!

ujanja kwa GOOGLE

Ikiwa unataka kupata jibu sahihi kwa shida uliyo nayo, unahitaji kujua jinsi ya kuuliza swali sahihi. Kwa watu wengi hii inaweza kuwa jambo gumu zaidi kufanya – kuuliza swali sahihi bila bla blaaa!

Mtandaoni, wakati unamuliza Mr.GOOGLE, Ili kupata jibu lako, lazima uweze kuelekeza moja kwa moja kwenye kile unachotaka. Utahitaji pia sachi injini nzuri ya utafutaji ili kukusaidia, sio GOOGLE tu!

Kwani sach ingini, Search Engine, ni nini?

Sach injini, kama GOOGLE, ni programu ambayo inatafuta na kutambua vitu katika mtaoni au kwa neno laisi tuseme “hifadhidata” ambayo inalingana na maneno muhimu au herufi zilizobainishwa na mtumiaji, zinazotumiwa haswa kutafuta tovuti fulani kwenye Wavuti ya Ulimwenguni Pote.”

Sasa kuna aina tofauti za injini ya utafutaji kama vile:

Google
DuckDuckGo
Yahoo
Baidu
na mengine mengi…
Lengo letu kuu ni GOOGLE, tukumbushane au kujifunza jinsi ya kuitumia GOOGLE kama mtaalamu, HAPA UJANJA tu!

Kutafuta Google ni ujuzi, ujanja fulani, amini usiamini. Inachukua mazoezi, lakini ikiwa utatumia mbinu hizi hivi karibuni utapata majibu kwa maswali yako magumu zaidi.

 


HAPA UJANJA tu

ujanja wa GOOGLE (paralleling websites)

Huu ni ujanja ambayo unaweza kutumia kutafuta tovuti zingine zinazotoa bidha au shuguli za kufanana ...

COMPUTER HARDWARE (beginner’s guide)

This book is intended to provide an in-depth introduction to the hardware and technology of the personal computer and to answer your questions about how it all works.

Everyday we are challenged with new technology and new adaptations of existing technology with the result that we are continually all beginners. While this book is written primarily for people who wish to know more about personal computer (PC) hardware, it may also prove to be helpful to people who wish to expand their knowledge of the PC’s hardware.

When where how why use CAPITAL LETTERS (herufi kubwa)

Herufi kubwa zinatumika sehemu nyigi kama, mwanzo mwa sentensi, majina ya watu, majina ya mahali, nk!  Ukitaka umbea wa ziada then check out this video👇 

#capitalletters #punctuation #5021tips

COMPUTER skills DISCUSSIONS👨‍🎓

Tunapata mada yoyote kulingana, kisha tunajadili (discuss) kikamilifu kwa njia ya kawaida mtu yeyote anaweza kuelewa …na mazoezi pia! Hii sio jinsi shule za kawaida zinafundisha, but how the real world is🤔 so You use whatever You learn to solve real problems around You!

COMPUTER ni kifaa cha elektroniki keyenye uwezo wa kupokea ujumbe na kufanya kazi kwa huo ujumbe kulingana maagizo🤔, kiisha kutoa/kuonesha matokeo!

http://www.5021.tips/ujanja/kompyuta


COMPUTER NETWORKING (introduction)

Huu ni muhtasari wa kitafanikwa katika hii blaa blaa COMPUTER NETWORKING, yaani kama simu au laptop au whatever, zinawezaje kuwasiliana nazingine!

#computernetworking #computerbasics #5021tips


COMPUTER NETWORKING (part-1)

Huu ni umbea kwanzia kama computer mbili kwenye room moja kuwezaje kuwasiliana, then may be computer kwenye room tofauti au nyumba tofauto au mji tofauti mpaka mpaka computer zikiwa bara (continet) mbali mbali zinawezaje kuwasiliana! Alafu tukisema computer, ione kama simu au TV au chechote kinachokuwezesha kuwasiliana!

#computernetworking #computerbasics #5021tips


COMPUTER NETWORKING (part-2)

#computernetworking #computerbasics #5021tips


MAC ADDRESS 

MAC address ni kama kitambulisho cha kifa (a.k.a network interface controller ) kinachowezesa kitu chechote kuweza kuungana kwenye (mtandao) network ili kuwasiliana vitu vingine! Hicho ‘kitu chechote’ kinaweza kuwa simu, laptop, printer, gari, nk as long it can connect to any network!

#MACaddress #COMPUTERnetworking #5021tips


 

Ujanja wa ENGLISHES👨‍🎓

Jinsi unafahamu lugha ya Kingereza unakutana nayo sehemu nyingi nyingi katika shuguli zako! So ukijifunza uchawi fulani wa matumizi, kuzungumza au kuhandika, inakuwa faida kubwa ili kuulaizisha shuguli zako🤷‍♂️!
Kuna aina kama mbili ya Kingereza (Buisness English & Social Englishes)! Social English ni blaa blaa kawaida ya mtani ya kuzungmza na mnajuana! Buisness English ni ile ya mambo kuwa serious kama ukitembelea ofisi ya mtu, inaekuwa mkutano, au kuongea/kuwandikiana kwa email ki biashara au whatever serious issue as we ellaborated!

 

#englishforbeginners #englishlessons #5021tips


KUTOA SALAMU

Ukitaka kutoa salam kwa lugha ya Kingereza huitaji maneno mengi wala ile wasi wasi wa kwenye saa ngapi maneno fulani yatumike! Sema tu “Hello”, ndiyo hata “Hi” inafanya lakini kulingana nani! 

#BUISNESSenglish #HOWtoGREET #5021tips


EMAIL (Kuwasiliana kwa email- baru pepe) 

Kuna umbea fulani au jinsi unavyoweza kuwasiliana kwa njia ya barua pepe namna kielimu bila wasi wasi, kama jinsi unavyosalimu, urefu wa ujumbe au hata maneno gani inasitahili kutumika, na mengi zaidi!
Part1

Part2

#businessenglish #email #5021tips


KUSOMA CIRCUIT/wiring DIAGRAMS(michoro)

Ukitazama mchoro ya wiring zinatisha🤔, lakini ukishaelewa misingi kadhaa utaona ni rahisi sana🤷🏼‍♂️!
Aanza kujua maana ya alama zilizomo,
then componet au kifa gani unafatilia, kinafanyaje kazi na kupata wapi au vipi umeme👩🏼‍🔧

….then uendelee na blaa blaa za wire, nk!

Kwenye hii👇 video tulijaribu kuoneshana kila🤷‍♂️


Kitabu How To use Electrical Wiring Diagrams
Click  HERE


Kitabu, Wiring Harness Repair Instructions
Click Here 


Loader Loading...
EAD Logo Taking too long?

Reload Reload document
| Open Open in new tab

Download kwa simu/laptop [2.38 MB]


#readingwiringdiagrams #electricaldiagrams #5021tips


AUTOMOTIVE ELECTRONICS (sensors, actuators, ECU,etc)

Kwa kutaka kuongeza nguvu za magari, bila kutumisa mafuta mengi, pamoja na bila kuharibu mazingira🤔, wataalamu waligundua namna ya kuchunguza mafuta na hewa inaoingia kwenye engine…pamoja na kuchunguza huo moshi unaotoka kwa engine🙄 ili husiharibu mazingira nje ya gari. So waliweka sensor za kuchunguza na kupeleka umbea kwenye ECU/control box (computer), alafu ndo computer iwaambie actuators kazi ya kufanya, kulingana🤷🏼‍♂️!
Sasa, kwasababu engine ya gari inategemea mafuta na hewa ili kuweza kufanya kazi, ndo maana njia za mafuta na hewa pamoja na hewa chafu (moshi) waliweka hizo sensor na actutors! So we shall look at all the sensors on in each systems as ellaborated in this video


AIRFLOW METER SENSOR

Either hii sensor inapima tu ujoto, AU inapima ujoto pamoja na uzito wa hewa inaoingia ndo hapo inaitwa Mass Airflow meter sensor!

Ikiwa inapima tu ujoto inakuwa na wire 2 tu

Iiwa inapima ujoto na uzito wa hewa, inaweza kuwa na🤔,
> 5 wires (2 yakupima joto, 3 za kupima uzito)
>4 wires (ground au negative wire ya upande wa kupima joto iko pamoja na ya upande wa kupima uzito)
>3 wires hakuna upande wakupima ujoto, inapima tu uzito wa hewa!

Hii video tuloneshana namna sensor inafanya kazi, pamoja na kupimwa ikiwa natatizo👩🏼‍🔧


MANIFOLD ABSOLUTE PRESSURE SENSOR (MAP)

Hewa ikifika kwenye inlet manifold itakutana hewa ingine inaotokea njia zingine kama Turbo, EGR, EVAP system, nk! Ina maana lazima au bora kuwepo namna ya kupima jumla ya hewa iliopo kwenye manifold kabla kuingia kwenye engine🤔 hapo ECU ama control ijue kiasi cha mafuta itafanya injector zitoe😎! So, hii MANIFOLD PRESSURE SENSOR ndo inapima jumla ya hewa iliopo kwenye inlet manifold!
Hii sensor mara nyigi ni 3 wires🤔,
moja ni 12V au 5V, ingine ni Negative/ground, Ingine ni ya SignalHii sensor ilitengenezwa kwa uchwa wa PIEZOELECTRIC EFFECT, ukibonyeza hapa tulijaribu kuonesha maana ya huu uchawi

Otherwise nama hii sensor inafanya kazi na kupimwa ili kujua kama ina tatizo, tulijaribu kuineshana katika hii video


ACCELERATOR PEDAL POSITION SENSOR

Sii ujajua hizi gari za kisasa kile ki pedal ni cha umeme⚡ tofauti kwa zile gari za zamani kulikuanga ka metal fulani🙄Sasa hii sensor ina sensor mbili kwa moja, because the other ni ya emegency kama upande moja ukiharibika, namna ya ufanyaji kazi na kupimwa in this video👇

#ACCELERATORPEDALSENSOR  #DRIVEbyWIRE  #5021tips


ELECTRONIC THROTTLE CONTROL

Baada ya kuganyaga kwenye accelerator pedal umbea unapelekwa kwa ECU (control box) ili ijue namna ya kunfungua hiki ki blaa blaa THROTTLE cha kuruhusu hewa ingie kwenye Engine! Hii ELECTRONIC THROTTLE CONTROL iko na kile kiko ka ulimi ya mtu hiivi kufungua na kufunga🤷🏼‍♂️! Kuna mota (motor) ya kutembeza hiki ki ulimi!  Na kuna sensor ya kuchunguza hiki ki ulimi kimefunguka kiasi gani🤔!
Namna ya kupima AND ufanji kazi tazama hii video😎

#THROTTLEbody #ENGINEsensors #5021tips


FUEL TANK-COVER SENSOR

Bila kufunga mfuniko wa kwenye tenki la mafuta, inasababisha upepo wa nje kuingia au ata mafuta kupotea kwa nja ya upepo (Evaporation)🙄! Sasa, ili kuhakisha unafunga mfuniko wa tenki, kuna sensa iliwekwa ili kwamba usipofunga, kuna taa itaonesha kwenye instrument cluster au ata taa ya check-engine yenyewe…au kuna uchawi ECU inafanya kwenye gari ili isitembee vizuri mpaka ufunge huu mfuniko😎!

#fueltankcover #automotivesensors #5021tips


FUEL TANK PRESSURE SENSOR

Jinsi unavyojua🙄, ukiweka kitu chochote kilivyo kama maji (liquid substance) kwenye kama dumu hivi, ukichezesha (shake) hiyo dumu, kuna pressure inatokea! Sasa, ata maafuta kwenye tenki la gari, kila gari ikitembea obviously inacheza so yale mafuta kuna uchawi unatokea kuyafanya kubadilika kuwa ya upepo na kuongeza pressure kwenye tenki, ndo maana kuna FUEL TANK PRESSURE SENSOR yakuchunguza kiasi cha pressure kwenye tenki😎!

Hii sensor ilitengenezwa kwa uchwa wa PIEZOELECTRIC EFFECT, ukibonyeza hapa tulijaribu kuonesha maana ya huu uchawi, so na maana ina 3wires🤷🏼‍♂️

Wakati gari inatembea, inachezesa tenki na kufanya yale mafuta (kama maji) kubadilika au ku evaporate kuwa upepo🤔! Sasa, hii EVAP SYSTEM inaosaidia kufanya uchawi ili yale mafuta ya upepo yasichanganyike au yasiende kwenye njia ya mafuta ya maji! Hii EVAP SYSTEM iko na njia mbadala yakupitisha upepo kwenda kwenye manifold au nje ya gari kulingana😨!

Kuna ile meter ya kuchunguza kiasi cha mafuta kwenye tenki (tank), kuna pump, kuna ka sieve ka kusfisha hayo mafuta, na🤔….jinsi tuanelekezana kwa hii video👇!


FUEL PRESSURE REGULATOR


 IDLE AIR CONTROL SYSTEM

Ukitoa mugu kwenye accelerator pedal (ile yakuongeza nguvu ya gari) ata ule mfuniko wa kuruhusu hewa ingie kwa engine unaziba🤐 ina maana engine ikikosa hewa itazimika🤷🏼‍♂️! Sasa uchawi wa IAC valve ni kufungua ka njia fulani ile hewa ipite kufika kwa engine ata ukitoa muugu👌 au tuseme ukitoka kwa gari inaendelea kuaka!

#IACvalve #ENGINEsensors #5021tips


CRANKSHAFT  & CAMSHAFT POSITION SENSORS

Assuming kwamba unajua crankshaft au camshaft ni nini, sasa ili kuweza kujua muda gani wakati cylinder fulani inafanya kitu gani na inahitaji nini, hizi CAMSHAFT na CRANKSHAFT POSITION SENSOR kuna uchawi unaziwezesha kujua ipi niaje, na kupleka huu umbea kwenye computer ya gari namna tulijaribu kumbushana au kuoneshana🍻

#crankshaftpositionsensor #camshaftpositionsensor #5021tips


ENGINE COOLANT TEMPERATURE SENSOR

Jinsi unavyojua, kifaa chenye uwezo kutembeza umeme kinabadilika kulingana ujoto au ubaridi🤔! So computer ya gari inatuma umeme kuzunguka kwenye hii ENGINE COOLANT TEMPERATURE SENSOR , kuligana ujoto/ubaridi umeme (volts) zitazorudi kwa computer, either itapungua au kubaki niaje namana tulioneshana👨‍🔧


AUTO TRANSMISSION tech & DIAGNOSIS outlines

Kwenye AUTO TRANSMISSION, uchawi zaidi zaidi ni wa valve ambao valve zinategemea solenoid, zingine ni pressure sensor na temperature sensor! SO, kama ulihelewa vizuri kuhusu blaa blaa za hizi sensor kwenye system zingine, then ili muradi picha inakuonesha hii sensor iko wapi, then troubleshooting AUTOMATIC TRANSMISSION troubles ni kama kunywa maji🍻!

#VALVEBODY #AUTOMATICTRANSMISSION #5021tips


TROUBLESHOOTING CONTROL SYSTEMS

Uchawi kuweza blaa blaa ya ma sensor, control boxi, sijui actuators ni kujua mfano ni sensor gani, iko wapi, inafanya kazi gani, inafanyaje hiyo kazi as in iliundwaje (how it is made), nk! So ukipata umbea huu wote ndo utajua inahitaji kupeleka au kutoa umeme gani kutoka wapi au blaa blaa as we explained in here👨🏼‍🎓 !

#electricalcontrolsystems #automotivesensors #5021tips

Kitabu kufundisha KEY PROGRAMMING

Jinsi hii video inakuonesha, hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk! Yaani unapata almost kila umbea mhimu👌!

HAPA KUNA MASOMO kuhusu immobiliser systems, bonyeza tu👨🏼‍🎓!
Bonyeza👆au kwenye picha👇


ONYO🚨>>

Technologia inabadilika kila sekunde, so ukiona mashine fulani ndo ilitumika, usikulupuke kununua hiyo mashine unaezakuta kuna mashine ingine mpya/bora!
Hiki kitabu kikusadie tu kutoa mwanga kwa macho yako, nenda ufanye research nyingi zingine bora🙏🏼!


DOWNLOAD HAPA 👇

👆👆👆👆👆👆

password aandika neno KitabuFongu0



EEPROM work (kusoma, kubadili, kuandika data)

Kuna kazi nyingi unaweza kufanya kwa kujua kuchezea data inakuanga humu kwenye chip au EEPROM (Electronically Erasable Programmable Read Only Memory)!
Yaaani hapa tunakumbushana kuhusu uchawi wa, kusoma, kuhifadhi, kubadili, kuandika, nk, ya kwamba ata ukitajiwa tu adress unajua niaje!
Kwenye hii picha ya chini👇unaona blaa blaa ya namna data inakuanga ndani ya hizo EEPROM🤔?Sasa hizo blaa blaa binary, HEX, address, nk, vyote tumeoneshana kila, kwenye hii video👇!
Video hii ni ndefu na kuna maneno mengi🙄  na ukitaka kufanya practical ujifunze kwa vitendo tumeweka hapa bonyeza HAPA unaeza kuwa huna mashine yeyote ya hizo EEPROM na kweli unataka kufanya mazoezi🤷‍♂️!
What we have done, ni kuwekea software inasoma hizo data, pamoja na mfano ya hizo EEPROM data ili ufanye mazoezi ku edit, delete, blaa blaaa, you know?

Madhara ya in-Circuit EEPROM programming

kwanini 0123456789ABCDEF

DATA ADDRESS reminder

CHECKSUM   ERRORS


Misingi ya CAR KEY PROGRAMMING



Kwanza moja kwa moja, ukumbuke how immobilizer systems work, what components involved, why and how to supercalifragilisticexpialidocious if lost or spare keys🤷‍♂️



Kwanzia hizo TRANSPONDER KEYS funguo za chuma za kawaida, mpaka hizo SMART KEY, tunaanza na mifumo, jinsi zinafanya kazi, ili uweze kuelewa kwanini, mashine fulani ndo zinazo kamilisha kazi fulani!


TRANSPONDER KEYS

Kwa kutaka kuzuia wizi, walifanya uchawi kwenye gari kwamba isipo kuwa funguo maalum ya hiyo gari maalum, hiyo gari haiwezi kuendeshwa. Kwenye funguo waliweka kadude fulani kanaitwa Transponder
Sasa haka kadude namna tulivyoneshana kwa video, kuna neno siri ama PIN a.k.a password ambao lazima ifanane na ilyo kwenye gari. Isipo fanana gari haitawaka!

So, kwa hii video tulijaribu kuoneshana namna hiizi blaa blaa zote zinafanya kazi

Ina maana hiyo funguo maalum ya kuendesha gari maalum ikipotea lazima ufanye uchawi wa ziada kuirudisha namna tuliojaribu kumbushana katika hii video!

ONYO🚨: Mara kwa mara kuna ujanja unaotokea wa nmna ya kufanya key programming, so hii ni just basics of what could be done in case🤷‍♂️!



TRANSPONDER DETAILS

Na hata kama hizo transponder zinafanana kwa muonekano, lakini ziko tofauti kaaabisa! Yaani ziko na namba mf., ID46, 4C, TPX7, nk kulingana aina ya gari! Ina maana ukileta tranponder ya Toyota Corona kuiweka kwa system ya Toyota Carina, hazitafanya🤷🏼‍♂️ namna tulioneshana kwenye hii video



Sasa kuna system zenye funguo za transpoder kama tumeone, na kuna smart key systems


SMART KEY SYSTEMS

Sasa, hizo smart zinabaki mfukoni kwamba unaeza kufungua mlango na kuendesha gari bila kuigusa hiyo funguo!

KEYLESS ama SAMRT KEY SYSTEM ina upande miwili, upande wa kuasha gari KEYLESS IGINITON SYSTEM, na upande mwingine wa tuseme kifahari hiiivi, KEYLESS ENTRY SYSTEM ile yakufungua mlango, booti, kutembeza viti, nk!

So namna hii video inakuonesha tutangaliza hizo part tofauti tofauti


KEYLESS IGINTION SYSTEM

Sasa tukianza na KEYLESS IGINTION SYSTEM tutaona namna SMART ECU ikishirikiana na ID CODE BOX, BODY ECU, ENGINE ECU, nk, kama TRANSMISION ECU, STEERING LOCK ECU, nk, ili kuwezesha engine kuaka kwa kutambua kama ndo funguo sahihi ilioko mfukoni ya huyo mtu anaejaribu kuendesha hiyo gari!
Hii video ni ndeeefu pamoja na maneno mengi ya kurudia rudia ili uweze kuipata vizuri!


KEYLESS ENTRY SYSTEM

Sasa hapa tunajaribu kuoneshana KEYLESS ENTRY SYSTEM, utaona kwamba hapa ni SMART ECU na BODY ECU na componet zingine zinazohusiana…pamoja na uchawi gani unaweza kufanya kukitokea blaa blaa yeyote kwenye hii system!


Unajua kuna mashine nyigi na ni rahisi kutengeneza au kuongeza funguo ya smart. LAKINI ukikosea kidogo tu, ni hatari na kwamba system nzima utakuwa umehiharibu🤷‍♂️!

So be careful when diagnosising for problems or when using diagnosis machine as we tried ellaborate in this video



IMMO OFF & IMMOBILIZER DECODING

Kufanya IMMO OFF ni ule uchawi kufanya gari iwake na funguo yeyote kama kawaida au kama mifumo ya zamani.  IMMOBILIZER DECODING🙄, ni kama ufunguo umepotea, unafuta kumbu kumbu ya ufunguo, kuirudisha kuwa bikira (virgin) kama mwanamke akiwa ajaolewa, namna gari inavyokuwa kiwandani!

Namna tulioneshana kwenye hii video, kufanya IMMO OFF either unaweka emulator au ku edit data za IC ama chip ya funguo!

ONYO 📌

kama unajelewa niaje, mambo ya EEPROM data blaa blaa, tumekuwekea hapa data za IMMO OFF na DUMPS (virgin Data), otherwise endelea kujifunza niaje! 

Data za IMMO OFF 
BONYEZA HAPA



IMMOBILIZER SECRET PIN CODES

Na, sometimes, ukiwa na secret codes fulani, ziwe SMART KEYS au TRANSPONDER KEYS, kwa kutumia ata diagnosis machine ya kawaida, unaweza kufanya ujanja fulani! 
So, tumekuwekea program kuwezesha kupata hizo secret codes fulani!

BONYEZA HAPA 



TRANSPONDER & EEPROM details!


Tena tulijua kwamba funguo ikipotea unaweza kupata code/passsword kutoka hiyo EEPROM ili ukatumbukize kwenye funguo ingine ndo gari iwake, au pia kama control boxi imekufa unatoa haka EEPROM ukaweke kwa hiyo control boxi ingine👌!
Sasa uchawi ni kusipojua EEPROM ya funguo iko wapi na ni gani katika hizo nyingi zilizopo kwenye circuit board, maana iwe control boxi au immo box kuna EEPROM nyingi nyingi.

So hii App📲 ya kwenye simu au na kompyuta💻, inakusadia kujua EEPROM ipi au Transpoder ipi inaendana hiyo gari🤔!


BONYEZA  HAPA



EEPROM WORK

Sasa tayari umejua ni EEPROM gani ya funguo🙄, je unajua nini chakufanya uweze kuisoma, kubadili ili ufanye IMMO OFF au DECODE ili kupata code/password ya funguo kutoka hiyo EEPROM?So ukibonyeza HAPA utona tulikumbushana au kuoneshana kuhusu data inakuanga humu, inakaje, inasomwa au kubadilishwa namna gani🤷🏼‍♂️ hizo blaa blaa binary, HEX, address, nk, mara Flash Memory, EEPROM memory, nk!

BONYEZA HAPA



KEY PROGRAMMING BOOK

Hiki kitabu kina namna ya ku program funguo za gari, mashine gani yakutumia, vifa gani vya kufungua/kufunga kwenye gari, nk!
Yaani unapata almost kila umbea mhimu👌!
Ni PDF📲 popote💻 kinafunguka!

BONYEZA HAPA 



KEY PROGRAMMING SOFTWARES

Tuseme umepata idea ya namna funguo zinafanya👌!
Na funguo ikipotea umejua kwamba unaweza kutumia data ya EEPROM kuweza kutenegeza ufunguo mwingine AU ukafanya IMMO OFF ukatoa tu immo system ili gari ikubali funguo yeyote.
Sasa changamoto ni kujua uchawi gani wa kufanya immo off au ku program funguo ingine kwa kutumia data ya EEPROM ndo maana ukitaka niaje😢!
Tumekusanya kila aina ya programu, yaani software kufanya ujanja wowote kwenye kila gari🤔, bonyeza tu HAPA HAPA HAPA🤷‍♂️!
Huu ni mifano namna hizi softyware ziliopo! Ni nyiiingi👌!


BONYEZA HAPA TO DOWNLOAD THIS FULL PACKAGE OF DVD


na TENA na tena, je🤔
Translate /Tafsir /Traduire