Ukitazama mchoro ya wiring zinatisha🤔, lakini ukishaelewa misingi kadhaa utaona ni rahisi sana🤷🏼♂️!
Aanza kujua maana ya alama zilizomo,
then componet au kifa gani unafatilia, kinafanyaje kazi na kupata wapi au vipi umeme👩🏼🔧
….then uendelee na blaa blaa za wire, nk!
KUSOMA CIRCUIT/wiring DIAGRAMS(michoro)
![](http://www.5021.tips/ujanja/wp-content/uploads/2020/07/waya-1200x675.jpg)