kuziima AIRBAG WARNING LIGHT

Gari ikipata ajali au ikitetemeka/kutikisa ghafla like kama as if imepata ajali hivi, as in like if U hit a pot hole, alafu taa ya AIRBAG ama SRS inabaki inawaka bila kuzima, kumanisha lazima ubadili vifaa fulani!
Hata ukiweka Diagnosis mashine, waaapi!
Sasa ndo huu uchawi tunakupa saa hii!


Bonyeza HAPA tuliokumbushana kuhusu namna AIR BAG wiring systems,  ma sensor husika, nk!
Pamoja na jinsi kuizima ikiwaka tu bila ajali wala kugonga kitu!


So huu uchawi unakuwezesha  kuzima hiyo taa ya AIRBAG bila kubadilisha vifaa (spare parts) ….namna tulijaribu kuoneshana kwenye hii video hapa chini👇!

Kiisha shuka chini ya video uweze ku download🍻!

👇DOWNLOAD 👇

👆👆

Translate /Tafsir /Traduire